Imetumwa : July 15th, 2025
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, Mhandisi Chionda Kawawa, ametoa wito kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vilivyonufaika na mkopo wa asilimia 10 ya mapato...
Imetumwa : July 13th, 2025
Mnada wa tano wa zao la ufuta uliofanyika tarehe 13 Julai 2025 katika kijiji cha Luchelegwa, wilayani Ruangwa, umewezesha uuzaji wa kilo 3,825,910 kutoka maghala tisa ya wilaya za Ruangwa, Nachingwea ...
Imetumwa : July 8th, 2025
Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde, ametoa ahadi ya muda mfupi ya kuwapatia leseni wachimbaji wadogo wa madini katika Mgodi wa Ntaka Hill uliopo katika kijiji cha Nditi Wilayani Nachin...