Imetumwa : September 27th, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea Mhandisi Chionda M. Kawawa ameongoza wananchi na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea kufanya usafi katika eneo la Hospitali ya W...
Imetumwa : September 18th, 2025
Kabila la Wamwela kutoka wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi likiongozwa na kiongozi wa Kabila hilo Chifu Ismail Malibiche Nakotyo leo Septemba 18, 2025 limefanya ibada maalum ya kuombea taifa amani kue...
Imetumwa : September 19th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Mohamed Moyo, Septemba 19, 2025 ameongoza uzinduzi wa kampeni kubwa ya chanjo ya mifugo wilayani humo, hatua inayolenga kupambana na magonjwa yanayoenezwa na mifugo kwend...