• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

Utawala na Rasilimali Watu

     


  • Kuandaa na kuwasilisha kwenye Mamlaka lengwa Ikama na  bajeti ya  watumishi   wa  Halmashauri (PE)
 
  • Kuandaa na kuwasilisha kwenye Mamlaka lengwa bajeti ya matumizi mengineyo ya utumishi na utawala
  • Kuandaa malipo mbalimbali ya watumishi na watoa huduma kwa mujibu wa sheria na kanuni za fedha.
  • Kusimamia nidhamu kwa watumishi wa umma ili wazingatie mwenendo wa kimaadili na uadilifu katika utumishi wa umma
  • Kusimamia utendaji kazi wa WEOs na VEOs, wasaidizi watunza kumbukumbu, wasaidizi wa ofisi, madereva na makatibu mahsusi.
  • Kutoa maelekezo, tafsiri/ufafanuzi wa Sheria, Kanuni za Utumishi wa Umma kwa Watumishi wote katika Halmashauri.
  • Kuandaa/kuhuisha tange na kuwasilisha   mamlaka lengwa pamoja na kuitumia katika upandishwaji vyeo
  • Kushughulikia vibali, ajira, mikataba, upandishwaji vyeo na kuthibitisha watumishi.
  • Kuandaa na kuwasilisha taarifa mbalimbali za utekelezaji za utumishi na utawala (CBG,  TUU, Rushwa na utawala bora)
  • Kuratibu upimaji wa utendaji kazi kwa watumishi wote na kutoa taarifa kila robo mwaka na nusu mwaka  (OPRAS)
  • Kuandaa na kuwasilisha kwenye Mamlaka husika taarifa ya utelezaji wa   Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala
  • Kuratibu na kusimamia shughuli za usafiri na usafishaji kwenye idara na masuala ya utawala.
  • Kushughulikia stahili mbalimbali za watumishi (likizo, matibabu, mazishi, mafao, ruhusa na usafiri). 
  • Kuratibu utekelezaji wa vikao vya kisheria ngazi ya makao makuu, Kata, Vijiji na vitongoji na baraza la wafanyakazi.
  • Kushughulikia uingizaji na marekebisho mbalimbali ya watumishi kwenye mfumo shirikishi wa taarifa za kiutumishi na mishahara.
  • Kuratibu shughuli za uchaguzi ngazi ya Vijiji na vitongoji na uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani
  • Kuratibu nyumba za Halmashauri ngazi ya makao makuu, Kata na vijiji.
  • Kuratibu kero mbalimbali zinazojitokeza na kushughulikia kiidara na kutoa taarifa ya utekelezaji kila robo mwaka.
  • Kusimamia mafunzo ya watumishi ya muda mfupi na mrefu kulingana na mahitaji ya mafunzo na mpango wa mafunzo
  • Kuratibu mafunzo kazini kwa watumishi ngazi ya wilaya na idara.
  • Kuratibu ziara za viongozi ngazi ya Wilaya, Mkoa, Wizara  na Taifa.
  • Kusimamia matumizi salama ya nyaraka za serikali na vifaa vya ofizi kwa mujibu wa sheria na kanuni.
  • Kuagiza vifaa na huduma  mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa mujibu wa bajeti.
  • Kuratibu sherehe na matamasha mbalimbali ya kitaifa, kimkoa na wilaya kwa mujibu wa ratiba
  • Kusimamia mawasiliano ya kiofisi kwa ngazi zote za kiutendaji ndani ya wilaya na nje ya wilaya.
  • Kuwa Katibu wa vikao vya menejimneti na kamati ya maadili ya madiwani, kamati ya watumishi, Katibu wa Bodi ya Ajira



Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • NACHINGWEA DC YAKABIDHI JUKUMU LA UZOAJI TAKA KWA KAMPUNI YA KASANDRA CLEANING SERVICE

    March 16, 2023
  • DEO MSINGI AFANYA KIKAO CHA TATHIMINI YA ELIMU YA MWEZI JANUARI NA FEBRUARI 2023

    March 14, 2023
  • MKOA WA LINDI KUENDELEA KUWAWEZESHA WANAWAKE KUPITIA MIKOPO YA HALMASHAURI

    March 08, 2023
  • WAZAZI WA WANAFUNZI AMBAO HAWATAFANYA MITIHANI YA MUHULA KUHOJIWA OFISI ZA KATA

    February 08, 2023
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AKIZUNDUA MRADI WA MAJI NAMIKANGO
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.