• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DED CHIONDA: TUNASIMAMIA USTAWI WA WAFANYA BIASHARA WA WILAYA YA NACHINGWEA

Imetumwa : January 6th, 2026

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea Mhandisi Chionda M. Kawawa amesema hana nia ovu na wafanyabiashara wa Nachingwea bali yupo tayari kuhakikisha ustawi wao wa kibiashara, amewasihi wafanyabiashara hao kuacha maneno ya barabarani na kusisitiza kukaa mezani na kufikia muafaka.

Mhandisi Kawawa ameyasema hayo leo Januari 6, 2026 katika mkutano na wafanyabiashara ulioitishwa na mbunge wa Jimbo la Nachingwea Mh.Fadhili Liwaka katika ukumbi wa Singapore.

Katika mkutano huo wafanyabiashara wakiongozwa na Mwenyekiti wao Bw. Rashidi Kassimu waliwasilisha hoja kadhaa zikiwemo kukosa fursa za kibiashara kwenye miradi ya serikali, madeni ya muda mrefu ya wazabuni, malalamiko juu ya makadirio ya kodi na mgogoro wa umiliki wa vibanda na ardhi katika soko kuu ambao wafanyabiashara hao walidai kuna nia ovu juu yao.

Akijibu hoja hizo Mhandisi Chionda alisema, "kuhusu suala la vibanda mimi nalielewa na kweli lipo kihistoria na mimi naliheshimi hilo, hakuna mwenye nia ovu hapa,nawasihi sana tuache maneno ya barabarani tukae mezani,mimi ndio mkurugenzi nawaambia hakuna haki ya mtu itakayopotea".

Aidha kwa upande mwingine Mhandisi Chionda amewaahidi wafanyabiashara hao kuwa kuanzia Januari hii madeni yote kama sio kumaliza kabisa basi atahakikisha anayapunguza.


Aliongeza kusema kuwa tangu amekuja Nachingwea mwaka 2021 alikuta madeni ya zaidi milioni 400 ambayo hayakuwa na vielelezo.Akasema kuwa moja ya hatua aliyochukua ni kuhakiki madeni yote  ili yaweze kulipika,hali ambayo inaonesha nia yake njema Kwa wafanyabiashara hao.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED CHIONDA: TUNASIMAMIA USTAWI WA WAFANYA BIASHARA WA WILAYA YA NACHINGWEA

    January 06, 2026
  • MHESHIMIWA ADINAN MPYAGILA ACHAGULIWA TENA KUA MWENYEKITIWA WA HALAMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA

    December 02, 2025
  • KUELEKEA UCHUMI WA MADINI DED CHIONDA NA WATAALAMU WA HALMASHAURI YA NACHINGWEA WAPEWA MAFUNZO YA CSR

    December 04, 2025
  • OFISI YA MKUU WA MKOA NA CBM YATOA HUDUMA YA UCHUNGUZI WA UONI HAGIFU NACHINGWEA

    November 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.