• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

WANANCHI WA NACHINGWEA WAFURAHIA URAHISI WA MATIBABU UNAOSABABISHWA NA MAABARA YA KISASA

Imetumwa : January 14th, 2026

Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea imefanya maboresho ya vifaa vya kutolea huduma za maabara kwa kununua vifaa vipya kama vile mashine ya kemia yenye thamani ya milioni 40 ambayo inauwezo wa kupima vipimo za sampuli 100 za magonjwa kwa saa 1 ambapo kabla ya maboresho hayo baadhi ya vipimo kama  elektroraidi ambayo haikuwa na kipimo ilipelekea kutolewa rufaa kwenye hospitali za Ndanda, Nyangao na Muhimbili kwa wagonjwa wa kisukari kwa matibabu yao ya dharura.

Wakizungumza na mwandishi wetu, Bi. Stella Francis na Ndugu Bakari Abdallah wagonjwa waliopata vipimo katika maabara hiyo  wamesema wakati huu wanapata huduma bora tofauti na awali hivyo kumepunguza adha ya kutoka na kwenda hospitali zingine kupatiwa matibabu.

Nae Ndugu Feisal Mnoha Meneja wa Maabara ya hospitali hiyo amesema maboresho ya vifaa yamewarahisishia wataalamu kazi lakini pia kuweza kuwasaidia wagonjwa kupata huduma kwa wakati kwa maana ya mashine ya mwanzo ilikuwa inahitaji mwongozaji ili iweze kufanya kazi lakini baada ya kupokea mashine mpya inaweza kufanya kazi bila mwongozaji.


Kwa upande wake Dkt. Shukrani Nsikini Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Nachingwea amesema kuboreshwa kwa vifaa vya maabara kumeongeza wigo wa utowaji wa huduma za kitabibu "tumenunua mashine ya kemia yenye thamani ya milioni 40 ambayo inapima vipimo vingi sana na kwenye hivyo vipimo pia vipo vipimo vilivyokuwa havipimwi hapo awali lakini kwa sasa tunafanya na imesaidia kupunguza rufaa zisizo za lazima". Dkt. Nsikini alieleza.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI WA NACHINGWEA WAFURAHIA URAHISI WA MATIBABU UNAOSABABISHWA NA MAABARA YA KISASA

    January 14, 2026
  • DC MOYO AWATAKA MADIWANI KUWA KICHOCHEO CHA MAENDELEO.

    January 08, 2026
  • DED CHIONDA: TUNASIMAMIA USTAWI WA WAFANYA BIASHARA WA WILAYA YA NACHINGWEA

    January 06, 2026
  • MHESHIMIWA ADINAN MPYAGILA ACHAGULIWA TENA KUA MWENYEKITIWA WA HALAMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA

    December 02, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.