• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

WASIMAMIZI WASAIDIZI 76 WA UCHAGUZI MKUU NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO NACHINGWEA

Imetumwa : August 4th, 2025

Msimamizi  Mkuu wa Uchaguzi wa wilaya ya Nachingwea, Ndugu Joshua Mnyang'ali, ametoa mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi 76 wa uchaguzi ngazi ya kata.

Mafunzo hayo yametolewa leo agast 4, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa  halmashaur ya wilaya ya Nachingwea ambapo yataendelea kwa muda wa siku tatu hadi agast 6, 2025 yakilenga kutoa elimu ya utendaji na uwajibikaji katika kusimamia ipasavyo uchaguzi kwa mujibu wa katiba, sheria  kanuni na miongozo inayotoloewa na Tume huru ya uchaguzi,

Ndugu Mnyang'ali  amesisitiza kuwashirikisha wadau wa Uchaguzi na vyama vya siasa kulingana malekezo na maagizo ya na Tume huru ya Uchaguzi, Pia amewasihi wasimamizi wa uchaguzi kuhakikisha wanapokea vifaa vyote na kuhakikiwa na kufikishwa katika vituo vya Uchaguzi ili kuepuka kuatiri zoezi zima la Uchanguzi,

Kwa upande mwingine wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata wamekula kiapo rasmi cha utii na kutunza siri ikiwa ni sehemu muhimu ya maandalizi kuelekea katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika October 2025.

Aidha, amesema kuwa ni "wajibu wa kila msimamizi kuhakikisha kila hatua ya uchaguzi inafuata misingi ya usawa, uwazi na uaminifu, hivyo ni vyema kuzingatia mafunzo ili kuepukana na changamoto za uvunjifu wa amani"


Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • AKINA BABA NACHINGWEA WAMETAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA AKINA MAMA WANAONYONYESHA

    August 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI AHITIMISHA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA, WASISITIZWA KUZINGATIA VIAPO

    August 06, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 76 WA UCHAGUZI MKUU NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO NACHINGWEA

    August 04, 2025
  • DED CHIONDA AWAKARIBISHA WANANCHI WOTE KUTEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA NACHINGWEA KATIKA MAONESHO YA NANENANE NGONGO

    August 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.