Imetumwa : March 28th, 2025
Tarehe 28 Februari 2025 idara Maendeleo ya Jamii wilaya ya Nachingwea imefanya mkutano muhimu na wanafunzi wa shule za sekondari zilizopo katika Mamlaka ya Mji Mdogo Nachingwea, lengo likiwa ni ...
Imetumwa : March 26th, 2025
Leo, tarehe 26 March Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Mheshimiwa Mohamed Hassan Moyo, amegawa mitungi ya gesi 1600 kwa wakina mama waliolipia nusu ya gharama, yaani shilingi 19,500 kila mmoja.
...
Imetumwa : March 8th, 2025
Leo, tarehe 8 Machi 2025, maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yamefanyika kimkoa wilayani Nachingwea, mkoani Lindi, katika viwanja vya Maegesho ya Malori. Mgeni rasmi katika hafla hiyo Mheshimiwa ...