• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DOKTA SAMIA APELEKA KICHEKO KWA WACHIMBAJI WADOGO NDITI

Imetumwa : July 8th, 2025

Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde, ametoa ahadi ya muda mfupi ya kuwapatia leseni wachimbaji wadogo wa madini katika Mgodi wa Ntaka Hill uliopo katika kijiji cha Nditi  Wilayani Nachingwea Mkoa wa Lindi, hayo ameyasema leo Julai 8, 2025 alipokua akiongea na wachimbaji wadogo kijijini hapo.

Mheshimiwa Mavunde amesema kuwa Mheshimiwa Raisi Dkt.Samia Suluhu Hassan ameelekeza kuwarasimishwa na kuwapa Leseni  wachimbaji wadogo katika eneo la nditi  lenye ukubwa wa hekari za mraba 3.99 na kufungua shughuli za uchimbaji ziendelee katika mgodi huo.

Akizungumza mbele ya mamia ya wanachi katika mkutano huo, Mheshimiwa Mavunde amesema "Serikali imesikia kilio cha wachimbaji wadogo na inalenga kutatua kwa vitendo, kwa kuhakikisha wanapewa leseni haraka ili waweze kufanya shughuli zao kwa mujibu wa sheria".

Aidha, amesema "sekta kwa kushirikiana na shirika la madini la serikali (STAMICO) wamejipanga kuhakikisha wachimbaji wadogo wanapata mashine za kuchorongea ili kuweza kurahisisha shughuli za upatikanaji madini", pia ameagiza kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Nachingwea kuhakikisha hakutokei migogoro kwa wenye maeneo yaliyopo ndani ya mgodi kati ya wachimbaji na wananchi.


Kwa upande wao Wachimbaji wadogo wakiongozwa na bi. Kuruthumu Lunje wameelezea furaha na  matumaini makubwa baada ya kauli hiyo ya Waziri, wakisema wamekuwa wakisubiri kwa muda mrefu kupata leseni ili wafanye kazi  bila hofu ya kusumbuliwa na mamlaka.


Ahadi hiyo ya Waziri Mavunde imezidi kuimarisha imani ya wachimbaji wadogo kwa serikali, huku wengi wakitazamia mabadiliko chanya yatakayobadilisha maisha yao kiuchumi kupitia sekta ya madini.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DOKTA SAMIA APELEKA KICHEKO KWA WACHIMBAJI WADOGO NDITI

    July 08, 2025
  • WAKULIMA WAMEKUBALI KUUZA UFUTA WAO KWA BEI YA JUU SHILINGI 2,630 NA BEI YA CHINI SHINGINGI 2,550

    July 06, 2025
  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.