• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

Zao la ufuta kumneemesha mkulima

Imetumwa : June 8th, 2018

Zao la ufuta kumneemesha mkulima

Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mheshimiwa Rukia Muwango amewahakikishia wakulima kuwa mfumo wa kukusanya na kuuza zao ufuta kwa njia ya mnada ni bora na yenye tija kwa mkulima

Ameyasema hayo mwanzoni mwa juma wakati akifungua kikao cha wadau wa zao la ufuta katika ukumbi wa Mondlane ambapo kikao hicho kilihusisha viongozi wa vyama vya msingi,maafisa kilimo wa kata, watendaji wa kata waheshimiwa madiwani na baadhi ya wakulima kutoka wilaya ya Nachingwea.

“Kupitia mfumo huu mkulima atalipwa kulingana na bei ya soko,mpango huu una lengo la kumkomboa mkulima kutoka kwa wale wote wenye lengo la kumnyonya” Alisema mheshimiwa Muwango

Akiwasilisha mada katika kikao hicho Mkuu wa Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika Rafael Ajetu amesema kuwa ufuta utakuwa ukikusanywa kupitia maghala ya AMCOS husika na minada tafanyika katika maghala yaliyoteuliwa ambapo kwa wilaya ya Nachingwea yapo 34.

”AMCOS zitakuwa na jukumu la kujua na kutoa takwimu za kiasi cha ufuta ulioko katika eneo lake mfano ufuta uliokusanywa katika kila tawi na kuziwasilisha kwa afisa ushirika” Alisisitiza Ajetu

Aidha wadau walionesha hofu ya AMCOS kupata hasara na hatimaye baadhi ya wafanyakazi wake kuingia matatani kutokana na unyaufu wa wa zao la ufuta kuwa juu

Akitoa ufafanuzi Mkuu wa Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika Rafael Ajetu amesema kuwa kama ufuta umekauka vizuri hauwezi kupungua uzito kwa haraka na kuwahamasisha wakulima kukausha ufuta wao vizuri kabla hawajaupeleka kwenye maghala ya kukusanyia

Mnada kwa zao hili la ufuta unategemewa kuanza tarehe 12.06.2018, bei yake haitakuwa chini ya shilingi 1764 kwa kilo.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANAFUNZI WA NACHINGWEA HIGH NA RUGWA BOYS WAAGWA KWA HAFLA FUPI, WAJIANDAA KWA MITIHANI YA TAIFA

    April 26, 2025
  • SDA NA LIIKE WATOA MAFUNZO YA HUDUMA YA KWANZA KWA MANGALIBA NA WALOMBO KWA AJILI YA KUIMARISHA UTAMADUNI SALAMA

    April 28, 2025
  • DED NACHINGWEA : AAGIZA MIRADI KUKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA KUZINGATIA VIWANGO

    April 09, 2025
  • RC LINDI : MIRADI YOTE ITAKAYOPITIWA NA MWENGE IZINGATIE MATUMIZI BORA YA FEDHA

    April 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.