• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WAASWA KUHUSU RUSHWA

Imetumwa : October 27th, 2025

Wasimamizi wa uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani katika jimbo la uchaguzi Nachingwea wameaswa kuhusu kutokushiriki katika vitendo vya rushwa, hayo yamesemwa na afisa wa TAKUKURU Bw. Mafuru Aloyce wakati wa mafunzo ya kusimamia uchaguzi yanayoendelea kutolewa na Tume Huru ya Taifa uchaguzi.

Mafunzo hayo yameendelea leo Oktoba 27,2025 katika Chuo cha Ualimu Nachingwea na katika kata ya Nambambo, akizungumza katika mafunzo hayo Bw. Mafuru alisisitiza wajibu wa kutenda haki ili kuondoa malumbano na migogoro isiyo na lazima, aidha pia aliongeza kusema makosa ya rushwa yanalingana na makosa ya uhujumu uchumi ambapo adhabu yake yaweza kufikia kifungo cha miaka 20 hadi 30.

Pamoja na hayo Bw.Mafuru alisisitiza kwa kurudia kauli mbiu ya TAKUKURU, “kuzuia rushwa ni jukumu langu na lako tutimize wajibu wetu”.


Akichangia katika kutoa maoni yake jinsi mafunzo hayo yalivyoendeshwa mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo Bi.Leyila Miraji kutoka katika kata ya Nambambo alisema, “ mafunzo ni mazuri wawezeshaji wanaelezea hoja vizuri na hasa kuhusu rushwa tumeelekezwa vizuri juu ya adhabu itakayotokana na rushwa.”

Aidha pia Bw.Joseph Nyerere na Bi. Abiba Hamadi walipongeza Tume Huru ya Taifa Uchaguzi kwa maandalizi mazuri ya mafunzo hayo.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WAASWA KUHUSU RUSHWA

    October 27, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI : WASIMAMIZI WAPENI KIPAUMBELE WENYE MAHITAJI MAALUMU

    October 26, 2025
  • MILIONI 20 ZA MAPATO YA HALMASHAURI ZAMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI HOSPITALI YA WILAYA YA NACHINGWEA

    October 08, 2025
  • HUMAN 100, KIFAA CHENYE UWEZO WA KUPIMA WAGONJWA 100 KWA WAKATI MMOJA, SULUHISHO LA FOLENI YA MAABARA HOSPITALI YA NACHINGWEA

    October 08, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.