• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

WANANCHI KIEGEI A WAFURAHISHWA NA MRADI WA NYUMBA YA MWALIMU

Imetumwa : August 14th, 2025

Kaimu Murugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea ambae ni Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo ndugu Joshua Mnyang'ali amewataka wananchi wa Kijiji cha Kiegei A kiichopo kata ya Kiegei kuunga mkono jitihada za Seeikali kwa kushiriki katika miradi ya maendeleo.


Mnyang'ali amewasihi wananchi hao kuwatumia wataalamu wa Halmashauri hasa Wahandisi katika miradi ya unenzi ili kupata taarifa na ushauri wa kitaalamu namna ya kutekeleza miradi hiyo.


Wananchi wa Kiegei A wametakiwa kuacha tabia ya kulumbana wakati wa utekelezaji wa miradi na badala yake kushiki kikamailifu katima miradi ya maendeleo, pia wamesisitizwa kushiriki katika mradi wa nyumba moja ya mwalimu uliyopo katika shule ya msingi Kiegei A wenye thamani ya shilingi milioni 51 ili kukamilisha kwa wakati ili walimu waweze kupata miundombinu bora ya kufundishia.


Aidha, Mnyang'ali amewapongeza wananchi hao kwa kua na nia madhubuti ya kutaka kukamilisha mradi huo kwa wakati na kuhakikisha kiasi cha fedha kinabaki na kuelekeza katika kutatua changamoto zingine katika shule hiyo.


Kwa upande wao wananchi wameishukuru Seeikali na Halmashauri kwa kupeleka mradi huo kwani shule hiyo inakabiliwa na changamoto ya miundo mbinu chakavu.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED CHIONDA AAGIZA MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI, WANACHI WANUFAIKE

    August 16, 2025
  • WANANCHI KIEGEI A WAFURAHISHWA NA MRADI WA NYUMBA YA MWALIMU

    August 14, 2025
  • DC MOYO NA DC MLINGA WAUFUNGA MGODI WA KAIYUEKWA UKIUKWAJI WA SHERIA

    August 07, 2025
  • NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA BANDA LA NACHINGWEA KATIKA MAONESHO YA NANENANE NGONGO

    August 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.