• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

VIJIJI 16 VYASAINI MKATABA NA KAMPUNI YA VILLAGE CLIMATE SOLUTION KWA AJILI YA KUANZA BIASHARA YA HEWA UKAA

Imetumwa : October 18th, 2024

Kampuni ya Village Climate Solution Limited imeingia makubalino na Vijiji 16 vya Halmashauri ya Nachingwea kwa kusaini Mkataba wa Miaka 40 kwa ajili kufanya biashara ya Carbon ambayo hufaamika kwa jina la hewa ukaa, Mikataba hiyo imesainiwa Oktoba 18, 2024 katika ukumbi wa Halmashauri ya Nachingwea.

Mikataba hiyo imesainiwa mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mheshimiwa Mohamed Hassan Moyo, Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Adnan Mpyagila, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ndugu Joshua Mnyang'ali na timu ya wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri hiyo.

Mhe. Moyo amewataka viongozi wa vijiji hivyo kuhakikisha sasa wanatunza misitu yao kwa nguvu zao zote kwani itakwenda kuwaletea tija katika biashara hiyo ambayo inategemewa kuanza kuwalipa hivi karibuni kabla ya mwaka wa fedha 2024/2025 haujamalizika, pia amewasihi kutunza misitu yao na kudhiti uvamizi na kuzuia migogoro isiyo na sababu ambayo inaweza kupelekea biashara hiyo kushindwa kufanyika vizuri.

Kwa upande wake mwakilishi wa kampuni ya Village Climate Solution Limited ndugu Emmanuel Kajumba ametoa pongezi kwa vijiji hivyo kuingia katika biashara hiyo kwani watakwenda kunufaika kwa kiaso kikubwa na kubadilisha maisha ya wananchi wao, kama kampuni jukumu lao ni kuhakikisha wateja wao wananufaika kwa maslahi ya nchi, tayari wanafanya biashara na Halmashauri 6.

Aidha Kaimu Mkurugenzi Ndugu Mnyang'ali amewataka watendaji wa vijiji hivyo kusimamia mradi huo kwa weledi wa hali ya juu na kwa kuzingatia utaratibu na mkataba waliosaini, pia kama kuna changamoto wataiona basi wafike ofisi ya Mkurugenzi kwa ajili ya kujadiliana.

Vijijj hivyo ni Kilimarondo, Mbondo, Ngunichile, Majonanga, Kiegei B, Kiegei A, Namatunu, Majengo, Nanjihi, Chimbendenga, Nakalonji, Lipuyu, Lionja, Mtua, Nahimba na Matekwe.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANAFUNZI WA NACHINGWEA HIGH NA RUGWA BOYS WAAGWA KWA HAFLA FUPI, WAJIANDAA KWA MITIHANI YA TAIFA

    April 26, 2025
  • SDA NA LIIKE WATOA MAFUNZO YA HUDUMA YA KWANZA KWA MANGALIBA NA WALOMBO KWA AJILI YA KUIMARISHA UTAMADUNI SALAMA

    April 28, 2025
  • DED NACHINGWEA : AAGIZA MIRADI KUKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA KUZINGATIA VIWANGO

    April 09, 2025
  • RC LINDI : MIRADI YOTE ITAKAYOPITIWA NA MWENGE IZINGATIE MATUMIZI BORA YA FEDHA

    April 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.