• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

TFCG: KUSOGEZA HUDUMA ZA PEMBEJEO KWA WAKULIMA ITAONGEZA TIJA KATIKA KILIMO NA UHIFADHI WA MAZINGIRA

Imetumwa : January 28th, 2026

Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Forest Conservation  Group (TFCG), kwa kushirikiana na MJUMITA(Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania), Chuo Kikuu cha Leeds (LEEDS University) na CLIM-EAT, limeamua kupaza sauti kwa Serikali kuhusu mahitaji ya wakulima wa maeneo ya Kilimarondo, Namatula na Kiegei, hususan katika upatikanaji wa ruzuku kwa ajili ya kilimo chenye tija na endelevu.


Shirika hilo limeeleza kuwa dhamira yake ni kuwawezesha wakulima na wafugaji pamoja na kulinda mazingira, Katika juhudi zake za kuwashauri wakulima juu ya mbinu bora za kilimo cha mavundu, wamebaini kuwa changamoto kubwa inayowakabili ni upatikanaji wa pembejeo kwa wakati unaofaa.


Wakulima hao wamesema kuwa kwa sasa wakala wa pembejeo yupo umbali mkubwa, hali inayosababisha gharama za ziada na hivyo kushindwa kupata pembejeo kwa wakati sahihi wa msimu wa kilimo.


Akizungumza katika shughuli hiyo Meneja Mradi wa Mavundu kutoka TFCG Bi.Nuru Nguya amesema kuwa ili kuendeleza uhifadhi wa mazingira, wakulima na wafugaji wanapaswa kupewa maeneo maalum ya kudumu kwa ajili ya kilimo badala ya kuhamahama kutafuta rutuba katika maeneo mbalimbali.


Ameongeza kuwa suluhisho la changamoto hiyo ni kusogeza huduma za pembejeo karibu na wakulima, jambo litakalosaidia kuongeza tija ya uzalishaji na kulinda mazingira.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TFCG: KUSOGEZA HUDUMA ZA PEMBEJEO KWA WAKULIMA ITAONGEZA TIJA KATIKA KILIMO NA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    January 28, 2026
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI

    January 27, 2026
  • DMO NACHINGWEA AWATAKA WAFAWIDHI VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MAADILI NA TARATIBU ZA KAZI

    January 24, 2026
  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 1.2

    January 26, 2026
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.