• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

KAMATI YA SIASA WILAYA YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI

Imetumwa : January 27th, 2026

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Nachingwea imefanya ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani humo, ikiwemo miradi ya afya, elimu na miundombinu ya barabara yenye thamani ya shilingi bilioni 4.67.

Ziara hiyo imeongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nachingwea  ndugu LONGINUS NAMBOLE, ambapo ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi.

Mwenyekiti  ameipongeza Wilaya na Halmashauri ya Nachingwea kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo, akieleza kuridhishwa na kasi pamoja na ubora wa ujenzi unaoendelea, hali inayoakisi matumizi sahihi ya fedha za umma.


Aidha, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano kati ya wakandarasi, wataalamu na wananchi ili kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati na kwa viwango vilivyokusudiwa.


Miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni jengo la utawala ambalo limefikia asilimia 80 ya utekelezaji, barabara ya KKKT–Hospitali yenye urefu wa kilomita 0.5 iliyokamilika pamoja na uwekaji wa taa za barabarani, kituo cha afya Chiola, kituo cha afya Nammanga pamoja na shule ya awali na msingi Stesheni.


Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohammedi Hassan Moyo, amesema kuwa katika kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi, ataendelea kusimamia kwa ukaribu zaidi thamani, ubora na ufanisi wa miradi yote ya maendeleo, ili fedha zilizotengwa ziwe na manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TFCG: KUSOGEZA HUDUMA ZA PEMBEJEO KWA WAKULIMA ITAONGEZA TIJA KATIKA KILIMO NA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    January 28, 2026
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI

    January 27, 2026
  • DMO NACHINGWEA AWATAKA WAFAWIDHI VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MAADILI NA TARATIBU ZA KAZI

    January 24, 2026
  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 1.2

    January 26, 2026
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.