• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

VIJANA TUMIKENI KAMA NDUVU KAZI KUKAMILISHA KITUO CHA AFYA CHIOLA

Imetumwa : August 19th, 2025

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, Bi. Stella Kategile, ambaye ni Mgeni rasmi katika mkutano wakujadili Maendeleo ya mradi wa kituo cha Afya cha chiola na Maendeleo ya kata hiyo, amewataka wananchi wa eneo hilo kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa mradi huo,

Hayo ameyasema  Agosti 19,2025 alipokua akiongea na wananchi katika mkutano huo, wakati wa ukaguzi wa mradi huo wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 682, Bi. Kategile amewapongeza viongozi wa Vijiji na kata kwa ushirikiano wanaoendea kuonyesha katika kutekeleza mradi huo, Pia amewahimiza vijana wa Chiola kushiriki ili kuhakikisha ujenzi wa kituo hicho unakamilika kwa wakati uliopangwa.

Kwa upande wake, Mlezi wa Kata ya Chiola ambaye pia ni Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Nachingwea ndugu Faraja Raskombe, amewasihi wananchi wa kata hiyo kuuthamini mradi huo muhimu unaotarajiwa kuleta manufaa makubwa kwao na kwa vizazi vijavyo,pia amesisitiza umuhimu wa wananchi kushiriki na kufuatilia hatua zote za ujenzi ili kuhakikisha kituo cha afya kinajengwa kwa viwango vilivyopangwa na kwa matumizi ya muda mrefu.

Aidha kwa upande wao wananchi wameonyesha kuelewa na kuahidi kwa viongozi wa vijiji na kata kushiriki kikamilifu ili kuhakikisha mradi huo unakamilika na kuweza kupata huduma kwani wamekua wakilazimika kusafir umbali mrefu kufuata huduma za afya katika katabya marambo, pia wameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Raisi Dkt. Samia Suluhu Hasani kwa kuendelea kuleta miradi ya maendeleo na yenye tija kwa jamii.


Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NACHINGWEA KUPITIA CHAMA CHA MAKINI

    August 23, 2025
  • TAASISI ZAIDI YA 60 KUKUTANA PAMOJA OCTOBA NA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI.

    August 29, 2025
  • ELIMU YA WATU WAZIMA ICHANGAMKIWE ILI KUEPUKA MAADUI WATATU

    August 22, 2025
  • DEO SEC : KUTOKA MEMKWA KWENDA CHUO KIKUU INAWEZEKANA, TUHAMASISHE NDUGU ZETU KUJIUNGA NA ELIMU YA WATU WAZIMA

    August 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.