• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

UNICEF YATOA KEMIKALI ZENYE THAMANI ZAIDI YA MILLION 18 NACHINGWEA GIRLS HIGH SCHOOL

Imetumwa : August 21st, 2025

Shirika ya Umoja wa mataifa la UNICEF limekabidhi kemikali za mabara kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea Mhandisi Chionda M. Kawawa zenye thamani ya zaidi ya Milioni 18 kwa ajili ya maabara za shule ya wasichana ya Nachingwea (Nachingwea Girls High School). Hayo yamefanyika leo Agosti 21, 2025.


Mhandisi Kawawa ametoa shukrani zake kwa UNICEF na Dokta Samila Suluhu Hassan kwa kuwezesha vifaa hivo kufika katika shule hiyo, pia amewataka walimu wa shule hiyo kuhakikisha vifaa hivyo vinatumika kwa ajili ya kuwafundishia wanafunzi na vitunzwe kwa uangalifu wa hali ya juu.


Aidha, kwa niaba ya idara ya Elimu sekondari Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekonadari Halmashauri ya Nachingwea Mwalimu Joas amemshukuru Mkurugenzi na shirika la UNICEF kwa msaada huo, kwani kulikua na uhaba wa vifaa na sasa vitakwenda kusaidia kwa kiasi kikubwa.


Ikumbukwe UNICEF ni shirika la Umoja wa Mataifa linalolinda na kukuza haki, afya na maendeleo ya watoto duniani

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NACHINGWEA KUPITIA CHAMA CHA MAKINI

    August 23, 2025
  • TAASISI ZAIDI YA 60 KUKUTANA PAMOJA OCTOBA NA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI.

    August 29, 2025
  • ELIMU YA WATU WAZIMA ICHANGAMKIWE ILI KUEPUKA MAADUI WATATU

    August 22, 2025
  • DEO SEC : KUTOKA MEMKWA KWENDA CHUO KIKUU INAWEZEKANA, TUHAMASISHE NDUGU ZETU KUJIUNGA NA ELIMU YA WATU WAZIMA

    August 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.