• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

SERIKALI INATAMBUA UMUHIMU WA KUWAWEZESHA WANAWAKE NA KUKUZA USAWA WA KIJINSIA - MAJALIWA

Imetumwa : March 6th, 2025

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa March 6, 2025 ameongoza kongamano la Wanawake kanada ya Kusini kuelekea maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi 

Akifungua kongamano hilo, Mhe. Majaliwa amesema kuwa Serikali inatambua umuhimu wa kukuza usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kama njia mojawapo ya kuimarisha ustawi na kufikia maendeleo jumuishi na endelevu.

Aidha, Waziri Mkuu amewataka wanawake kuendelea kuhamasishana na kutumia fursa zilizopo katika maeneo yao ikiwemo mikopo inayotokana na halmashauri (10%) na taasisi za kibenki kwa kuzingatia mikopo yenye masharti nafuu ili kutoathiri maendeleo na mienendo ya maendeleo ya mwanamke na mjasiriamali.

Kupitia kongamano hilo lililowakutanisha wanawake kutoka Mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma, wanawake wametakiwa kuanzisha viwanda vidogovidogo vya uchakataji ili kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo wanayoyazalisha ili kujiongezea kipato

kupitia kuuza bidhaa badala ya malighafi. Mbunge wa Jimbo la Nachingwea Mhe Amandusi Chinguile ametoa shukrani zake kwa waandaaji wa kongamano na kuhitaji muendelezo wa matukio mengine ya kijamii, pia ameeleza baadhi ya mambo ya kimaendeleo yaliyotendeka katika wilaya hiyo ndani ya miaka 4 ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kama vile na  uwepo wa vituo 6 vya afya, shule za msingi na sekondari ambazo zinaendelea kujengwa sambamba na ujenzi wa jengo jipya la Halmashauri linalogharimu zaidi ya Bil 4 lakini pia upandishwaji hadhi wa Hospital ya wilaya pamoja na ICU ya kisasa, upatikanaji wa pembejeo wa zao la korosho bila malipo upatikanaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake katika wilaya hiyo.

Naibu katibu mkuu wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na makundi maalumu Bwana Amon Mpanju ameeleza kuwa wanawake wamekuwa ni muhimili na chachu kubwa ya maendeleo katika jamii hivo kuelekea siku ya wanawake ambayo itafanyika kitaifa katika mkoa wa Arusha huku Mhe Samia Suluh Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi, pia amewaomba wanawake nchini kujitokeza kwa wingi katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi


Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANAFUNZI WA NACHINGWEA HIGH NA RUGWA BOYS WAAGWA KWA HAFLA FUPI, WAJIANDAA KWA MITIHANI YA TAIFA

    April 26, 2025
  • SDA NA LIIKE WATOA MAFUNZO YA HUDUMA YA KWANZA KWA MANGALIBA NA WALOMBO KWA AJILI YA KUIMARISHA UTAMADUNI SALAMA

    April 28, 2025
  • DED NACHINGWEA : AAGIZA MIRADI KUKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA KUZINGATIA VIWANGO

    April 09, 2025
  • RC LINDI : MIRADI YOTE ITAKAYOPITIWA NA MWENGE IZINGATIE MATUMIZI BORA YA FEDHA

    April 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.