• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

RAS LINDI : AITAKA HALMASHAURI YA NACHINGWEA KUTENGA 20% KWA AJILI IDARA YA KILIMO

Imetumwa : June 17th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Bi Zuwena Omary leo June 17, 2025 amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea kutenga 20% kutoka katika mapato yatokanayo na mazao na kuipatia idara ya kilimo kwa ili kuboresha utendaji kazi wa idara hiyo na kuongeza uzalishaji utakaopelekea kuongeza mapato zaidi kwani asilimia kubwa ya mapato ya halmashauri yanatokana na kilimo.

Katibu Tawala ameeleza kuwa, kwa kiasi kikubwa Halmashauri za Mkoa huo zinategemea kilimo kama chanzo kikubwa cha mapato hususani Halmashauri ya Nachingwea,  hivyo ni vizuri idara hiyo kuwezeshwa ili kuiongezea nguvu na weledi katika utendaji kazi wake.

Pia, katika kuendelea kuwainua vijana, wanawake na watu wenye ulemavu Bi Zuwena amesema kwamba  ni vyema wataalamu kushirikiana na  madiwani kufanya ukaguzi wa kina kwa vikundi vinavyoomba mikopo na kubaini miradi wanayoibua  kama ni sahihi na inaweza kusaidia kurejesha fedha watakayokopeshwa ili fedha hizo zirejeshwe kwa wakati na kuendelea kusaidia wanachi wengine.


Katibu Tawala amewasisitiza wataalamu kushirikiana na madiwani kukagua vikundi  kabla ya kupewa fedha, kwani waheshimiwa Madiwani ndio wanaowafahamu wananchi wao na itasaidia kutambua vikundi vyenye uwezo wa kurejesha kwa wakati.



Aidha, ametoa pongezi kwa Mkuu wa Wilaya, Madiwani, Mkurugenzi na timu yake ya wataalamu kwa kufanikiwa kupata hati safi ya CAG kwa mara nyingine tena, pia  amefurahishwa na namna ambavyo  watumishi wanashirikiana na madiwani katika kuijenga halmashauri ya wilaya ya Nachingwea, amesisitiza utulivu na umoja huo uendelee kudumishwa.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RAS LINDI : AITAKA HALMASHAURI YA NACHINGWEA KUTENGA 20% KWA AJILI IDARA YA KILIMO

    June 17, 2025
  • DC NACHINGWEA : WATENDAJI WA KATA HAKIKISHENI AJENDA YA CHAKULA MASHULENI INAKUA YA KUDUMU KATIKA MIKUTANO NA VIKAO VYA UONGOI

    June 17, 2025
  • SEKTA YA MADINI INATAMBUA UMUHIMU WA WACHIMBAJI WADOGO, SERIKALI INAANDAA MAZINGIRA BORA KWA AJILI YAO.

    June 14, 2025
  • WIZARA YA MADINI YAIPONGEZA SERIKALI YA MKOA WA LINDI KWA KUANDAA MAONESHO YA MADINI

    June 14, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.