• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MWENYEKITI WA HALMASHAURI ACHANGIA LAKI 5 UJENZI WA CHOO CHA WAALIMU LIONJA SEKONDARI

Imetumwa : October 21st, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Nachingwea, Mheshimiwa Adinan Mpyagila, ameahidi kutoa shilingi laki tano katika hafla ya mahafali ya 15 ya shule hiyo,iliyombatana na harambee iliyofanyika jana tarehe 21/10/2024, katika shule ya sekondari kata ya Lionja. Pesa zilizokusanywa ni jumla ya shilingi 1,553,950, ambapo Mheshimiwa Mpygila ameahidi pia kutoa mpira, jezi, mafuta, unga wa wangano, na sukari kwa wanafunzi wa kidato cha nne ili kuwasaidia katika mtihani wao.

Katika hafla hiyo, Mheshimiwa Mpyagila alitoa vyeti kwa wanafunzi waliofanya vizuri na kuwatia moyo wanafunzi wote wa kidato cha nne. Aidha, alitangaza kuanza mara moja ujenzi wa choo cha walimu, ukikamilika kabla ya tarehe 30 Novemba.

Mwenyekiti alisisitiza umuhimu wa wazazi kuwa na matumizi mazuri ya fedha ili kusaidia maendeleo ya elimu ya watoto wao, na aliwapongeza walimu kwa ufaulu wa asilimia 100 katika matokeo ya kidato cha nne na na cha pili.


Pia, Mheshimiwa Mpyagila amezichukua changamoto za shule, ikiwemo ukosefu wa mwalimu wa kike, na aliahidi kuchukua hatua za haraka ili kutatua tatizo hili. Alifurahia juhudi za uandikishaji wa daftari la  wakazi kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, ambapo kata ya Lionja imefanikisha asilimia 107, ikiwa na zaidi ya watu 6000 waliojandikisha na kushika nafasi ya nane kiwilaya.


Aliwasihi wananchi kujitokeza kupiga kura na kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Hii ni hatua muhimu katika kukuza elimu na ushiriki wa jamii katika maendeleo.


#Tupovizuri

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.