• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MILIONI 20 ZA MAPATO YA HALMASHAURI ZAMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI HOSPITALI YA WILAYA YA NACHINGWEA

Imetumwa : October 8th, 2025

Kwa kutumia mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, Milioni 20 zimetumika kuimarisha miundombinu ya upatikanaji wa maji katika Haospitali ya Wilaya ya Nachingwea kwa kuchimba kisima kitakachowezesha upatikanaji wa maji wa kudumu. 

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, ndugu Racheal Lububu Mkuu wa Idara ya Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu amemesema lengo kubwa la Halamashauri ni kumaliza tatizo la maji na kuboresha miundombinu hiyo kwani kwa sasa katika kila jengo mabomba yatapelekwa na watumishi pamoja na wanachi watapata huduma za maji ya uhakika pia itasaidia katika ufanisi wa utolewaji wa huduma za matibabu.

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Hospitali, Dkt. Shukurani Msikini, amesema mchakato wa upatikanaji wa maji safi umekamilika kwa mafanikio makubwa, na hatua inayofuata ni kuhakikisha maji hayo yanasambazwa katika majengo yote ya hospitali na amesisitiza kuwa huduma hiyo itaboresha zaidi mazingira ya kazi kwa watumishi wa afya na kuongeza ufanisi katika utoaji huduma kwa wagonjwa.

Kwa upande wao wananchi wa Nachingwea wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Mhandisi Chionda Kawawa, kwa jitihada za kuendelea kuboresha huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa maji hospitalini hapo kwani itapunguza changamoto zilizokuwa zikiwakuta na kuimarisha ustawi wa huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MILIONI 20 ZA MAPATO YA HALMASHAURI ZAMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI HOSPITALI YA WILAYA YA NACHINGWEA

    October 08, 2025
  • HUMAN 100, KIFAA CHENYE UWEZO WA KUPIMA WAGONJWA 100 KWA WAKATI MMOJA, SULUHISHO LA FOLENI YA MAABARA HOSPITALI YA NACHINGWEA

    October 08, 2025
  • ICU YA ZAIDI YA MIL 600 NA MAPINDUZI YA HUDUMA ZA AFYA NACHINGWEA

    September 29, 2025
  • DED CHIONDA : USAFI NI MAZOEZI, TUFANYE KWA AFYA ZETU NA MAZINGIRA YETU

    September 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.