• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MIL. 649 ZA 10% ZATOLEWA KWA WANUFAIKA ZAIDI YA 160 NACHINGWEA

Imetumwa : July 15th, 2025


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, Mhandisi Chionda Kawawa, ametoa wito kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vilivyonufaika na mkopo wa asilimia 10 ya mapato ya halmashauri, kuhakikisha wanatumia mikopo hiyo kwa uaminifu na uwajibikaji mkubwa.

Akizungumza katika hafla fupi ya kukabidhi mikopo hiyo yenye thamani  zaidi ya shillingi millioni 649,

 Mhandisi Chionda, amesema kuwa fedha hizo zimetolewa ili kuongeza fursa za kiuchumi kwa vikundi 54 vilivyokidhi vigezo ili kusaidia kupunguza umasikini katika jamii,

Amesisitiza kuwa uaminifu na nidhamu ya matumizi ya mikopo hiyo ni nguzo itakayosaidia vikundi vingi zaidi kunufaika na mpango huo katika siku zijazo  lakini pia itawaepusha kuingia katika mikopo yenye riba kubwa na isiyokua na tija katika maendeleo yao,

"Tunawaomba muwe waaminifu katika kuzitumia fedha hizi. Lengo letu ni kuona vikundi vikikua na kuchangia maendeleo ya kiuchumi ya wilaya yetu,”

 Aidha, Mkurugenzi amezitaka kamati zinazohusika na usimamizi wa mikopo hiyo kuhakikisha kuwa fedha hizo zinarudi kwa wakati ili vikundi vingine viweze kunufaika na  fursa hii.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MIL. 649 ZA 10% ZATOLEWA KWA WANUFAIKA ZAIDI YA 160 NACHINGWEA

    July 15, 2025
  • RUNALI YAUZA UFUTA BEI YA JUU TSH 2,560 NA BEI YA CHINI SHILINGI 2,530

    July 13, 2025
  • DOKTA SAMIA APELEKA KICHEKO KWA WACHIMBAJI WADOGO NDITI

    July 08, 2025
  • WAKULIMA WAMEKUBALI KUUZA UFUTA WAO KWA BEI YA JUU SHILINGI 2,630 NA BEI YA CHINI SHINGINGI 2,550

    July 06, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.