• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MHE. DIWANI ATOA MOTISHA KUENDELEZA UFAULU, ASISITIZA LISHE SHULENI

Imetumwa : February 11th, 2026

Diwani wa Kata ya Mpiruka, Mheshimiwa Veronika Makotha, Februari 11, 2026 ametoa zawadi kwa shule zilizofanya vizuri katika mitihani ya taifa ya Darasa la Nne, Darasa la Saba, Kidato cha Pili na Kidato cha Nne. Zawadi hizo zimejumuisha fedha taslimu, vyeti, sukari na mahindi kilo 200 kwa kila shule kama njia ya kuongeza hamasa kwa walimu na wanafunzi.

Akizungumza katika hafla iliyofanyika Shule ya Sekondari Mpiruka, Mhe. Makotha amesema amehamasishwa na umuhimu wa elimu katika maendeleo ya jamii, na kusisitiza kuwa motisha hiyo itasaidia kuongeza juhudi katika ufundishaji na ujifunzaji.

Aidha, amewataka wazazi na wadau wa elimu kushiriki kikamilifu katika kuchangia chakula mashuleni, akieleza kuwa lishe bora huchangia ufaulu wa wanafunzi. Pia aliwataka wenyeviti wa vijiji na walimu wakuu kusimamia zoezi hilo kwa umakini.


Kwa upande wake, Afisa Elimu Kata, Ndugu Boniface Ayoub, amesema ufaulu umeongezeka ukilinganisha na miaka iliyopita licha ya changamoto ya uchangiaji wa chakula. Wazazi na wanafunzi wameahidi kuendelea kushirikiana ili kuimarisha sekta ya elimu na kudumisha mafanikio hayo.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. DIWANI ATOA MOTISHA KUENDELEZA UFAULU, ASISITIZA LISHE SHULENI

    February 11, 2026
  • KAMATI YA SIASA MKOA (LINDI) YAFURAHISHWA NA MIRADI YA BILION 3.6 NACHINGWEA

    February 11, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI LARIDHIA MPANGO MPYA BAJETI 2026/2026, DED CHIONDA ASISITIZA USHIRIKIANO

    February 12, 2026
  • MHE. DIWANI KATA YA STESHENI ATOA MOTISHA KWA WAALIMU SEKONDARI YA STESHENI

    February 05, 2026
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.