• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MARIE STOPES WAFANIKISHA HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU KWA WANANCHI WA NACHINGWEA KATIKA SIKU YA WANAWAKE

Imetumwa : March 8th, 2025


Marie Stopes imefanya matukio muhimu kuadhimisha Siku ya Wanawake katika Wilaya ya Nachingwea, ambapo walitoa huduma mbalimbali kwa jamii kuanzia Machi 6 hadi Machi 8, 2025. Katika siku ya Kongamano la Wanawake, Machi 6, Marie Stopes walishiriki kwa kutoa matibabu bure, elimu ya afya ya uzazi, na majadiliano kuhusu ukatili wa kijinsia. Hii ilikuwa ni sehemu ya jitihada zao za kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa uzazi wa mpango na kutoa msaada wa kisheria kwa waathirika wa ukatili.

Siku ya Machi 7, Marie Stopes wamelifanya bonanza la vijana katika Kata ya Kipara Mtua, ambapo walijumuisha burudani, michezo, huduma za afya bure, elimu ya ujasiriamali, na majadiliano kuhusu ukatili wa kijinsia. Bonanza hili lilikuwa ni fursa ya kipekee kwa vijana kujifunza na kuhamasika kuhusu masuala ya kijamii na kiuchumi.

Tarehe 8 Machi, iliadhimishwa kwa kutoa huduma ya afya bure ambapo. Ndg.Denice Simeo - afisa Vijana Shirika Marie Stopes Tanzania amezungumza mbele ya umati wa wananchi, akitoa shukrani na kupongeza kwa ushirikiano mkubwa walioupata kutoka kwa jamii. Amesema:


"Tunafurahi kuona matokeo ya jitihada zetu zinazowawezesha wananchi wa Nachingwea kupata huduma muhimu za afya na elimu. Ushirikiano wa jamii unaleta mafanikio makubwa, na tunaahidi kuendelea kutoa msaada na elimu itakayochangia ustawi wa jamii, hasa wanawake na vijana. Shukrani pia kwa Ofisi ya Mkurugenzi kupitia Idara ya Afya na Maendeleo ya Jamii kwa ushirikiano wao mkubwa. Tunaamini hii ni hatua muhimu katika kuboresha maisha ya wananchi wa Nachingwea."


Wananchi wa Nachingwea walieleza furaha yao na shukrani kwa Marie Stopes, wakisema kuwa huduma zilizotolewa zimewasaidia sana katika kuboresha maisha yao, hasa katika maeneo ya afya, ujasiriamali, na kuelimika kuhusu haki zao za kijinsia. Walisisitiza matumaini yao kuwa zoezi hili liwe endelevu na liwe na manufaa kwa jamii yote, hasa vijana na wanawake.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.