• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

LIWOPAC NA SATF WAFADHILI WATOTO 52 WENYE UHITAJI

Imetumwa : July 25th, 2025

Shirika la LIWOPAC kwa kushirikiana na SATF wametoa msaada wa baisikeli mbili za mataili matatu kwa wanafunzi wawili wenye ulemavu wa miguu Wilayani Nachingwea, wanafunzi hao ni Baraka Ali Saidi wa Kidato cha pili katika Sekondari ya Wavulana ya Rugwa na wa kidato cha tano kutoka shule ya sekondari ya Pugu iliyopo Jijini Dar es Salaam.

Hayo yamefanyika leo Julai 25, 2025 katima ofisi ya Mkurugenzi Mtwndaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea.

Akizungumza kwa niaba ya shirika la LIWOPAC bi Nyama amesema, shirika hilo kwa kushirikiana na SATF wanafadhili jumla ya wanafunzi 52 wenye mazingira magumu katika Wilaya ya Nachingwea na kwa siku ya leo wametoa baisikeli hizo mbili kama sehemu ya misaada ambayo wamekua wakiitoa.


Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea Mhandisi Chionda Kawawa ametoa shukrani zake kwa mashirik hayo na kuwapongeza kwa kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika kuondoa umasikini kwa jamii za watanzania na kuahidi kutoa ushirikiano na kuunga mkono jitihada wanazozifanya.

Aidha, mmoja wa wanafunzi hao aliyefahamika kwa jina la Baraka Ali Saidi ametoa shukrani zake kwa LIWOPAC na SATF na kuwaomba kuendeleza misaada hiyo kwa watu wenye uhitaji, pia ameta ahadi ya kuhakikisha anazingatia masomo ili kufikia.malengo yake.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • LIWOPAC NA SATF WAFADHILI WATOTO 52 WENYE UHITAJI

    July 25, 2025
  • DC MOYO ASISITIZA USIMAMIZI MAKINI WA MIRADI YA ELIMU IKAMILIKE KWA WAKATI

    July 24, 2025
  • FORLAND YATAMBUKISHA MRADI WA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU NA ARDHI

    July 22, 2025
  • WATENDAJI WA VIJIJI WAPEWA MAFUNZO YA MAKAZI, HALMASHAURI YA NACHINGWEA

    July 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.