• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DMO NACHINGWEA AWATAKA WAFAWIDHI VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MAADILI NA TARATIBU ZA KAZI

Imetumwa : January 24th, 2026

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Nachingwea Dr. Ramadhani Mahiga amewataka wasimamizi wa Vituo vya Afya na Zahanati kuzibgatia maadili na taratibu za kazi zao na kutojiingiza katika vitendo visivyofaa kama kuwatoza fedha wamama wajawazito kwa ajili ya kuchangia huduma katika vituo vyao vya kazi.  Dokta Mahiga ametoa kauli hiyo katika zahanati ya kiijiji cha Naipingo   wakati akifanya ziara ya kukagua ujenzi wa zahanati na vituo vya afya.


Katika ziara hiyo iliyofanywa na Mkuu wa Idara ya Mipango na Uratibu kwa akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Joshua Mnyang'ali, Dr.Mahige alipokea maswali kutoka kwa Wanachi ya kutaka uelewa wa masuala mbalimbali kihisi huduma za Afya, katia ziara hiyo pia walikagua ujenzi wa zahanati ya Naipingo ambayo ujenzi wake umekamilika kwa kiasi kikubwa.


Wananchi wa kijiji cha Naipingo waliomba Zahanati yao ikamilishwe kwa haraka na kuanza kutoa huduma ili kuepuka changamoto wanazopata za  kutembea umbali mrefu kufuata huduma katika zahanati ya Kihuwe,  Dr.Mahige alifanya mawasiliano na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Kihuwe na kumtaka kuimarisha utolewaji huduma na kuzingatia maadili na taratibu za kazi zao.


Ndugu Rose Benedicto Milanzi na Fatuma Matuta wakaazi wa kijiji cha Naipingo kwa pamoja waliomba Zahanati yaNaipingo kikamilishwe haraka ili kupunguza adha wanazokumbana nazo katika kutafuta huduma za Afya.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TFCG: KUSOGEZA HUDUMA ZA PEMBEJEO KWA WAKULIMA ITAONGEZA TIJA KATIKA KILIMO NA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    January 28, 2026
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YAIPONGEZA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI

    January 27, 2026
  • DMO NACHINGWEA AWATAKA WAFAWIDHI VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MAADILI NA TARATIBU ZA KAZI

    January 24, 2026
  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 1.2

    January 26, 2026
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.