• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 1.2

Imetumwa : January 26th, 2026

Kamati ya Fedha, Uchumi na Mipango (FUM) ya Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Adinani Mpyagila, imefanya ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ziara hiyo imefanyika leo tarehe 26 Januari, 2026, imehusisha miradi mitatu yenye thamani ya zaidi ya bil 1.2, Kamati imeeleza kuridhishwa na kasi na ubora wa utekelezaji wa miradi hiyo, hususan katika ujenzi wa majengo yanayoendelea, na kuwasihi wananchi kuendelea kushiriki kikamilifu katika miradi ya maendeleo kwa kuhakikisha wanatunza mazingira ya miradi hiyo.

Hata hivyo, kamati imebaini changamoto ya upatikanaji wa maji kujirudia katika miradi mingi, hali inayoweza kuathiri utekelezaji wa shughuli za ujenzi, Kufuatia hali hiyo, Mwenyekiti wa Halmashauri amewashauri madiwani kushirikiana na wananchi na viongozi wa maeneo husika ili kuhakikisha upatikanaji wa maji unaimarishwa na kuepusha ucheleweshaji wa kukamilika kwa miradi.

Aidha, Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala wa Halmashauri, Rachel Lububu, akimwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri, amewataka watumishi wanaohusika na miradi hiyo kuhakikisha wanakuwepo mara kwa mara katika maeneo ya utekelezaji wa miradi ili kusimamia shughuli zinazofanyika na kutatua changamoto za kiufundi zinazoweza kujitokeza kwa wakati.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 1.2

    January 26, 2026
  • NACHINGWEA YA MADINI KUCHOCHEA FURSA ZA UWEKEZAJI

    January 15, 2026
  • HOSPITALI YA NACHINGWEA YAFUNGA KIFAA MAALUMU CHA KUJIKINGA DHIDI YA RADI.

    January 20, 2026
  • WANANCHI WA NACHINGWEA WAFURAHIA URAHISI WA MATIBABU UNAOSABABISHWA NA MAABARA YA KISASA

    January 14, 2026
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.