• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DED CHIONDA AAGIZA MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI, WANACHI WANUFAIKE

Imetumwa : August 16th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea Mhandisi Chionda A Kawawa tarehe 16 Agosti 2025 alifanya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika kata na vijiji tofauti ndani ya wilaya hiyo, miradi hiyo inahusisha sekta za afya, elimu pamoja na miundombinu ya kijamii, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuboresha huduma kwa wananchi

Katika ziara hiyo Mkurugenzi alitembelea ujenzi wa Kituo cha Afya Chiola, Zahanati ya Chingunduli, pamoja na ujenzi wa madarasa 3 na matundu 12 ya vyoo katika Shule ya Msingi Majogo iliyopo Litula, aidha alikagua mradi wa TRC Mnero Miembeni, ukamilishaji wa maabara katika Shule ya Sekondari Nditi, pamoja na ukamilishaji wa nyumba ya mganga katika Kituo cha Afya Lionja.

Mkurugenzi alitembelea eneo la Ruponda litakalojengwa Kituo cha Afya, pamoja na shule za msingi Namanja na Ngunichile ambapo miradi ya ujenzi wa madarasa na vyoo inatarajiwa kuanza hivi karibuni, katika Shule ya Msingi Ngunichile mradi huo utahusisha ujenzi wa madarasa 5 na matundu 6 ya vyoo, katika maeneo yote aliyotembelea Mkurugenzi aliwataka watendaji kuhakikisha wanasimamia kwa karibu ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wa miradi hiyo, sambamba na kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa kuzingatia viwango vya ubora

Ziara hii imeonyesha dhamira ya dhati ya Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea chini ya Mhandisi Chionda katika kusimamia maendeleo na kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma stahiki, kupitia utekelezaji wa miradi hii inatarajiwa kuboreshwa kwa kiasi kikubwa huduma za elimu, afya na ustawi wa jamii katika maeneo mbalimbali ya wilaya.

Kwa ujumla miradi yote iliyotembelewa ina thamani ya Shilingi 1,510,981,415/=, jambo linalodhihirisha jitihada kubwa za Serikali katika kuhakikisha wananchi wa Nachingwea wanapata huduma bora na za uhakika.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED CHIONDA AAGIZA MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI, WANACHI WANUFAIKE

    August 16, 2025
  • WANANCHI KIEGEI A WAFURAHISHWA NA MRADI WA NYUMBA YA MWALIMU

    August 14, 2025
  • DC MOYO NA DC MLINGA WAUFUNGA MGODI WA KAIYUEKWA UKIUKWAJI WA SHERIA

    August 07, 2025
  • NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA BANDA LA NACHINGWEA KATIKA MAONESHO YA NANENANE NGONGO

    August 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.