• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DC NACHINGWEA : WATENDAJI WA KATA HAKIKISHENI AJENDA YA CHAKULA MASHULENI INAKUA YA KUDUMU KATIKA MIKUTANO NA VIKAO VYA UONGOI

Imetumwa : June 17th, 2025

Mkuu wa Wilaya yaNachingwea Mheshimiwa Mohamed Hassan Moyo amewataka Watendaji wa Kata kuhamasisha  upatikanaji wa chakula mashuleni na kuifanya kua miongoni mwa ajenda ya kudumu katika mikutano ya jamii na vikao vya uongozi  ili kuhakikisha kila shule inatoa chakula.

Hayo yamezungumzwa leo Juni 17, 2025 na Mkuu wa wilaya huyo katika kikao cha tathmini ya lishe cha robo ya tatu 2024/2025  kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Halmashauri ya wilaya Nachingwea.

Mheshimiwa Moyo  amesema kuhamasisha  ukusanyaji chakula cha mwaka mzima mashuleni itasaidia kujihakikishia uwepo wa chakula lakini pia kuondoa changamoto ya kukosa chakula ifikapo katikati ya mihula ya masomo.

Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Nachingwea Mhandisi Chionda Kawawa amewapongeza kitengo cha lishe kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuhamasisha  na kufuatilia suala zima la lishe.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RAS LINDI : AITAKA HALMASHAURI YA NACHINGWEA KUTENGA 20% KWA AJILI IDARA YA KILIMO

    June 17, 2025
  • DC NACHINGWEA : WATENDAJI WA KATA HAKIKISHENI AJENDA YA CHAKULA MASHULENI INAKUA YA KUDUMU KATIKA MIKUTANO NA VIKAO VYA UONGOI

    June 17, 2025
  • SEKTA YA MADINI INATAMBUA UMUHIMU WA WACHIMBAJI WADOGO, SERIKALI INAANDAA MAZINGIRA BORA KWA AJILI YAO.

    June 14, 2025
  • WIZARA YA MADINI YAIPONGEZA SERIKALI YA MKOA WA LINDI KWA KUANDAA MAONESHO YA MADINI

    June 14, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.