• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DC MOYO ASISITIZA USIMAMIZI MAKINI WA MIRADI YA ELIMU IKAMILIKE KWA WAKATI

Imetumwa : July 24th, 2025

Tarehe 24 Julai 2025, Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe. Mohamed Hassan Moyo, ameanza ziara ya siku nne katika Kata za Naipingo na Mtua kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi pamoja na kukagua miradi ya maendeleo.

Wananchi wa Kata ya Mtua, Wilaya ya Nachingwea, wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwapatia zaidi ya milioni 560 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari, hatua iliyowawezesha wanafunzi kuanza masomo na kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu. Vilevile, zaidi ya milioni 131 zimetolewa kwa ajili ya uboreshaji wa shule ya msingi, sambamba na milioni 40 kwa umaliziaji wa madarasa.

Ziara hiyo imeanzia Kata ya Naipingo, Kijiji cha Kihuwe, na Kata ya Mtua, Kijiji cha Mtua, akiwa ameambatana na wataalamu na kamati ya ulinzi na usalama.

Aidha, Mhe. Moyo amewataka wananchi wa Kata ya Mtua kushirikiana kwa kutoa nguvu kazi katika ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi ili ukamilike kabla ya mvua kuanza, huku akisisitiza usimamizi makini wa miradi hiyo. Vilevile, amewataka wananchi wa Nachingwea kuendelea kumpa Rais Samia kura za kishindo kutokana na kazi kubwa anayofanya ya kuleta miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • LIWOPAC NA SATF WAFADHILI WATOTO 52 WENYE UHITAJI

    July 25, 2025
  • DC MOYO ASISITIZA USIMAMIZI MAKINI WA MIRADI YA ELIMU IKAMILIKE KWA WAKATI

    July 24, 2025
  • FORLAND YATAMBUKISHA MRADI WA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU NA ARDHI

    July 22, 2025
  • WATENDAJI WA VIJIJI WAPEWA MAFUNZO YA MAKAZI, HALMASHAURI YA NACHINGWEA

    July 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.