• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DC MOYO AONGOZA KONGAMANO LA KUKUSANYA MAONI YA MAANDALIZI YA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

Imetumwa : July 30th, 2024

Julai 29, 2024 Mkuu wa Wilaya ha Nachingwea Mheshimwa Mohamed Hassan Moyo amefanya kongamano kubwa lililo shirikisha viongozi mbalimbali pamoja na wananchi katika ukumbi wa Chuo cha Walimu Nachingwea kwa ajili ya kukusanya maoni ya maadalizi ya dira ya maendeleo ya taifa 2050.


Katika kongamano hilo majadiliano yamefanyika na kuonyesha mafanikio mbalimbali yaliyofanyika katika utekelezaji wa dira ya maendeleo ya taifa ya mwaka 2025,  mafanikio mbalimbali yamepatikana katika dira hiyo

katika wilaya ya nachingwea, kwa mfano katika sekta ya Afya Mheshimiwa Moyo ameeleza miaka 20 iliyopta

Halmashauri ya Nachingwea ilikua na kituo kimoja cha afya lakini sasa kuna vituo tano vya afya vya kisasa.


Pia, kumekua na mafanikio katika uboreshaji wa miundombinu mbalimbali, ulinzi na usalama na kuongezeka kwa uzalishaji katika kilimo, miaka 20 iliyopita miundo mbinu kama barabara katika Wilaya ya Nachingwea ilikua duni ukilinganisha na sasa, katika Elimu kwa Wilaya ya Nachingwea ina Shule za Msingi zaidi ya 115 ukilinganisha na miaka 20 iliyopita hivyohivyo katika Elimu sekondari shule nyingi na za kisasa zimejengwa.


Wadau na wananchi mbalimbali walioshiriki kongamano hilo wametoa maoni yao kwa ajili ya maandalizi ya dira ya maenedeleo ya 2050, maoni kama uboreshwaji zaodi katika Sekta ya Elimu hususani Elimu bure, Miundo mbinu hasa ya usafirishaji na umeme, uboreshaji zaidi katika sekta ya afya, utwala, ulinzi na usalama bora na maeneo mengine.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea Mhandisi Chionda A. Kawawa amewasihi wananchi na wadau mbalimbali kuchangia maoni yao kwani dira 2050 ya maendeleo ndio itakayoeleza namna maendeleo ya taifa yatakavyopatikana kuelekea 2050.


Aidha, Mhe Moyo amewakumbusha na kuwasihi wananchi kuhakikisha wanashiriki katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura na kushirikk katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, kwani viongozi watakaochaguliwa ndio watakaoanza utekelezaji wa dira ya maendeleo ya 2050.


@samia_suluhu_hassan

@ofisi_ya_makamu_wa_rais

@ortamisemi @msemajimkuuwaserikali

@maelezonews

@wizarahmth

@wizara_elimutanzania

@wizara_afyatz

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.