• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

Wananchi watakiwa kutogawanyika kwa sababu za kisiasa

Imetumwa : November 8th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mheshimiwa, Hashim Komba amewataka wananchi wa wilaya ya Nachingwea kutogawanywa na sababu za uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2019.

Akiongea na wananchi wa Mkotokuyana jana aliwataka wale ambao hawajaridhika na mchakato huo kufuata sheria na kanuni za uchaguzi ambazo zinaelekeza kukata rufaa na kuweka mapingamizi kwa mujibu wa maelekezo ya Uchaguzi mwaka 2019.

“Kazi kubwa ya siasa ni kuleta maendeleo si malumbano, tutumie fursa za kisheria tusibaki kulalamika, uteuzi ukishafanyika pingamizi linawekwa kwa msimamizi msaidizi wa uchaguzi kama hujaridhika unakata rufaa kwa kamati ya rufaa wilayani” aliongeza Mheshimiwa Koma.

Ameyasema hayo kufuatia swali liloulizwa na ndugu, Amani Lalo akitaka kujua sababu za baadhi ya wagombea kutoteuliwa kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji.

Aidha, akiongelea malipo ya korosho amewataka wananchi kuwa wavumilivu huku michakato ya kuwalipa ikiwa inaendelea kwani watalipwa hivi karibuni.

“Serikali ni  kumlinda mkulima ili apate haki yake na si kupambana nae, korosho ndio utajiri wa Nachingwea, Lindi, Mtwara na Pwani, Wilaya yetu wakulima wanadai shilingi Bilioni 3.4 ambazo Rais ameelekeza zilipwe na zitalipwa hivi karibuni” Aliongeza Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya.

 Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya yupo kwenye ziara yake yenye nia ya kujitambulisha na kusikiliza kero za wananchi wa wilaya ya Nachingwea

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • WAKULIMA WAKUBALI KUUZA UFUTA KWA BEI YA JUU TSH. 2,710 BEI CHINI TSH.2,580 KWA KILO.

    June 22, 2025
  • MFUMO WA ONES STOP CENTRE WAIPAISHA LINDI, WIKI YA UTUMISHI WA UMMA DODOMA

    June 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.