• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Imetumwa : April 28th, 2017

WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe,Rukia Muwango amewaasa Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji kufanya kazi kwa bidii ili kufikisha huduma inayostahili kwa jamii na kuondoa manung’uniko miongoni mwa jamii.

Amesema hayo hivi karibuni katika kikao cha kazi kilicholenga kusikiliza kero mbalimbali kutoka kwao na pia kuwapa maelekezo mbalimbali ya Serikali.

Katika maelekezo yake aliwataka watendaji hao kutekeleza shughuli mbalimbali za serikali kwa ari na weledi ikiwemo suala la usafi wa mazingira,kujiwekea maelengo na mpango wa kazi katika shughuli zao ili ziweze kuwa na tija.

“Simamieni zoezi la usafi wa mazingira katika kata zenu na vijiji,suala la kuondoa utoro kwenye shule zilizopo katika maeneo yenu”Aliongeza Mhe Muwango.

Aidha amewataka kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kutoa taarifa pale wanapoona mtu wanayemtilia shaka katika maeneo yao,hii ikiwa ni pamoja wanyeviti wa vitongoji kufuatilia wageni wanaoingia maeneo yao na kujiridhisha ukaazi wao kupitia vitambulisho vyao.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • NACHINGWEA YAPATA ZAIDI YA MIFUKO 59,000 YA SALFA NA LITA 75,000 ZA VIUATILIFU MGAO WA MSIMU 2025

    June 06, 2025
  • MKAKATI WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA RUPONDA WAANZA

    June 05, 2025
  • BILIONI 2.8 ZABORESHA MIUNDOMBINU YA ELIMU NACHIGWEA

    June 04, 2025
  • WAZAZI WAMETAKIWA KUWEKEZA NGUVU SAWA KATIKA MALEZI YA WATOTO WA KIKE NA KIUME

    June 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.