• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA WATUMISHI KWA MAENDELEO YA TAIFA

Imetumwa : May 1st, 2017


Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe;Godfrey Zambi amewahakikishia watumishi wa Mkoa wa Lindi kuwa Serikali inatambua mchango wao katika kutoa huduma kwa wananchi wa Mkoa huo na kufafanua kuwa itakuwa inaboresha maslahi yao kulingana na kuboreka kwa uchumi wa nchi.

Ameyasema hayo katika maadhimisho ya sherehe za siku ya wafanyakazi kimkoa iliyofanyika viwanja vya shule ya Msingi Likangala vilivyopo Wilayani Ruangwa.

Ameongeza kuwa Serikali kwa vipindi tofauti imekuwa ikibobresha maslahi ya watumishi ikiwemo kuongeza mishahara,kulipa madeni na pia  kupunguza kodi kwenye mishahara kutoka asilimia kumi na saba (17) hadi tisa (9).

Aidha amewataka pamoja na watumishi kudai kuboreshwa kwa stahiki zao wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii kwenye maeneo yao na manung’uniko na masikitiko yao yasiwaathiri wale wanaowahudumia.

“Manung’uniko na masikitiko yenu yasiwaathiri wanafunzi kwani wote tusingefika hapa kama sio elimu”Aliongeza Mheshiwa Zambi.

Mapema akisoma risala ya wafanyakazi kwa Mkuu wa Mkoa, Mratibu wa Tucta Mkoa wa Lindi Fatma Chininga ameiomba serikali kuboresha maslahi ya watumishi ikiwemo mishahara,kupungunguza kodi kwenye mishahara,kujenga nyumba za watumishi na kulipa madeni kwa watumishi.

Kauli mbiu ya Mei Mosi mwaka huu ni ‘Uchumi wa viwanda uzingatie Haki,Maslahi na Heshima ya wafanyakazi’

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BILIONI 2.8 ZABORESHA MIUNDOMBINU YA ELIMU NACHIGWEA

    June 04, 2025
  • WAZAZI WAMETAKIWA KUWEKEZA NGUVU SAWA KATIKA MALEZI YA WATOTO WA KIKE NA KIUME

    June 04, 2025
  • MWENGE WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 2.2 CHANGAMOTO ZA MAJI,AFYA ZA MALIZWA WANANCHI WAFURAHIA NISHATI SAFI

    May 29, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WATAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU KWA AWAMU YA PILI

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.