• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

Wananchi watakiwa kutumia mnada wa mifugo kujipatia kipato

Imetumwa : April 26th, 2020

Wananchi wa watakiwa kutumia mnada wa mifugo kujipatia kipato

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mheshimiwa Hashim Komba ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea kwa kuanzisha mnada wa mifugo katika kijiji cha Matekwe

Ametoa pongezi hizo jana wakati akizindua mnada huo ambao  umehusisha wananchi wa maeneo wilaya za Nachingwea, Masasi, Liwale na Tunduru na Nanyumbu.

Ameeleza wananchi wa tarafa ya Kilimarorondo na wilaya ya Nachingwea watanufaika kwa uwepo wa mnada huo kwa kuuza  bidhaa mbalimbali kwa wananchi wanaofika mnadani hapo.

“Ni wilaya chache sana zenye minada nchini, mnada huu utawezesha kupata mapato kwa serikali  ya Kijiji, Halmashaur na serikali kuu, pia watu watatumia fursa ya kuja maeneo haya kupumzika” Ameongeza Mheshimiwa Komba.

Aidha, ameitaka Halmashauri kuboresha miundombinu ya mnada huo wa mifugo kwa kuweka umeme na miundombinu mingine ili mnada huo uwe rafiki kwa wananchi wote.

Pia amewataka wananchi na viongozi wa maeneo hayo kudumisha amani kwani bila amani na utulivu hata shughuli za mnada haziwezi kufanyika vizuri.

Mapema akimkaribisha Mheshimiwa Mkuuwa Wilaya  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, Hassan A. Rugwa amewataka wananchi kuchangamkia fursa ya uwepo wa mnada wa mifugo katika eneo hilo kwa kuleta mifugo na bidhaa zingine ili kuweza kujipatia kipato

Ameongeza kuwa ndio mnada pekee wa mifugo katika wilaya za mikoa ya kusini, hivyo amewataka wananchi hao kuwa wavumilivu kwani kila kitu kitakachotakiwa kuwepo katika eneo hilo kitakuwepo ili mnada huo uweze kuwa bora zaidi

mnada huo hadi kukakamilika utagharimu shilingi 5,322,500 na utakuwa unafanyika mara mbili kwa mwezi ambapo utakuwa unafanyika kila tarehe 8 na 24kila mwezi.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.