• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

Imetumwa : June 22nd, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary amewataka watumishi wa Mkoa wa Lindi kutumia fursa ya ushiriki wa  Maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma  Kitaifa 2025 kujifunza mambo muhimu kutoka taasisi na Ofisi zingine zingine ambazo zimeshiriki Maadhimisho hayo.

Katibu Tawala ametoa wito huo leo Juni 22, 2025 alipotembelea viwanja vya maadhimisho hayo Chinangali Jijini Dodoma yaliyoanza Juni 16 na kutarajiwa kuhitimishwa Juni 23, 2025.

" ushiriki wetu katika Maadhimisho haya wamuhimu sana yanatupa fursa ya kujifunza kutoka kwa wengine hivyo tunapaswa kuzingatia na kuona wengine wanafanya nini ili kuwa bora katika utendaji wa kazi "  Katibu Tawala Bi. Zuwena Omary .

Sambamba na hilo, amewapongeza watumishi wa mkoa wa Lindi kwa ubunifu na ushiriki wa Maadhimisho muhimu katika kuboresha utendaji wa kazi.

Awali, Katibu Tawala Msaidizi Utawala Ndugu Nathalis Linuma akitoa taarifa fupi ya namna mkoa wa Lindi ulivyoshiriki maadhimisho hayo , amesema Halmashauri zote za Mkoa wa Lindi zimeshiriki katika wiki ya utumishi wa umma na kila halmashauri imeweza kuonesha kitu cha tofauti katika kuboresha utoaji wa huduma kama vile One-Stop Centre kutoka Halmashauri ya Nachingwea, Utunzaji wa misitu kidigitali na mchakato wa uvunaji hewa Ukawaa kutoka Halmashauri ya Mtama, kadi_Alama kutoka  Hospitali ya Mkoa ambayo inawezesha kuona na kuhamasisha utendaji wa kazi na fursa za uwekezaji zilizopo katika Halmashauri zote.

Aidha, Katibu Tawala Bi. Zuwena Omary, alimepata fursa ya kutembelea mabanda mbalimbali ikiwemo TPDC ambapo ameweza kuona  kupitia video namna mradi wa gesi  LNG wa Lindi unavyotarajiwa kutekekezwa ,  mabanda mengine aliyotembele ni EWURA, LATRA, TFS ambako ameona na kupata tiba asili ya kudungwa na Nyuki na Mbeya RS.

Kwa upande wa Watumishi wa Mkoa wa Lindi wametumia fursa hiyo kumshukuru Katibu Tawala Mkoa kwa namna ambavyo ameandaa mazingira rafiki ya wao kushiriki wa maadhimisho hayo muhimu kwao.


Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.