• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MHE. JAFO AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA SEKTA YA AFYA WILAYANI NACHINGWEA

Imetumwa : September 19th, 2024

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Selemami Jafo amefanya ziara ya kikazi ya kukagua kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali wilayani Nachingwea leo September 19 2024.

Waziri Jafo ameagiza kituo cha Afya Lionja kuanza kutoa  huduma ndani ya miezi miwili lengo kuwaondolea wananchi kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za Afya  ambapo kituo hicho kitakuwa na jengo la OPD jengo la nje pamoja na kichomea taka hivyo kitahudumia kata za jirani ambazo ni  Namikango, Ngunichile na Nditi , zaidi ya shillingi milllion 400 zimetolewa na Halmashauri hiyo kupitia mradi wa ndani.

Aidha alitembelea katika kituo kipya cha Afya kinachoendelea kujengwa chenye jina KASSIMU MAJALIWA kinachojengwa katika kata ya Chiola chenye thamani  ya shillingi million 193,4021480 hivyo mpaka sasa million 50,70700 zimekwishatumika kwenye ujenzi huo  bado ujenzi unaendelea na kuagiza uongozi wa Halmashauri hiyo kufuatilia hati na kupatikana ndani ya mwezi mmoja lengo kupata fedha kwaajili ya kumaliza ujenzi huo hivyo zaidi ya miaka 47 walikuwa na zahanati pekee hali iliyopelekea wananchi kufuata huduma za Afya Katika hospital ya mnero na kutembea km 35 hadi kuifikia  hvyo kituo hicho kitahudumia wakazi 6599 na kupunguza vifo vya mama na mtoto


Katika hatua nyingine alifika katika hospital ya wilaya na kuweka mawe ya msingi katika  jengo la ICU ambalo lina thamani ya zaidi ya millioni 250  pamoja na  jengo la OPD lenye thamani ya millioni 423,925,630,  hivyo ujenzi wa jengo la kufulia, maabara, pamoja na kichomea taka vina thamani ya millioni 900  sambamba na uwepo wa wodi yenye thamani ya millioni 80 ambazo zinatokana na mapato ya ndani ya halmashauri.


Sambamba na hayo akitoa pongezi kwa uongozi wa Halmashauri hiyo kwa usimamizi nzuri wa ujenzi wa miradi hiyo na kuwapa salamu za Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk Samia

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.