• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NACHINGWEA

Imetumwa : May 7th, 2025


Tarehe 7 Mei 2025, Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi imefanya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Nachingwea kwa ajili ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ambapo imeonesha kuridhishwa na ubora na kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo.


Katika ziara hiyo, Kamati imetembelea miradi mbalimbali ya sekta ya elimu na afya. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa mabweni shule ya wavulana Rugwa (Rugwa Boys), ujenzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Naipingo, shule mpya ya msingi Mwananyamala iliyopo kata ya Ruponda, ujenzi wa nyumba za waalimu  shule ya sekondari Amandus Chinguile iliyoko kata ya Nambambo. Pia walikagua maendeleo ya ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Naipingo.


Katibu wa CCM Mkoa wa Lindi, Esau Barnabas, amewapongeza viongozi wa Wilaya ya Nachingwea kwa usimamizi mzuri wa miradi, akisema imejengwa kwa viwango na inalingana na thamani ya fedha zilizotumika. Alisisitiza kuwa miradi hiyo ni ya kimkakati na ina mchango mkubwa katika kuinua huduma za kijamii hususan elimu na afya.


Ameongeza kuwa wananchi wanapaswa kuitunza miundombinu hiyo na kuhakikisha watoto wanapelekwa shule na kutumia huduma za afya kwa maendeleo ya familia na jamii kwa ujumla. “Miradi hii ni kielelezo cha utekelezaji mzuri wa Ilani ya CCM na dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli. Hivyo ni wajibu wetu sote kuitunza na kuiendeleza,” alisema.


Aidha, amewataka wanaCcm wenye nia ya kuwatumikia wenzao katika nafasi za uongozi  kujitokeza kuchukua fomu wakati ukifika, ikiwemo kugombea udiwani na ubunge, ili kuendeleza kazi nzuri inayofanywa na chama na serikali.


#Tupovizuri

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.