• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DC MOYO AFURAHISHWA NA UTAYARI WA WANANCHI KUTEKELEZA MRADI WA MADARASA MKOKA

Imetumwa : July 28th, 2025

Tarehe 28 Julai 2025  Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Mhe. Mohamed Hassan Moyo ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo katika Kata ya Mkoka, Marambo na Ruponda.

Akiwa Kijiji cha Mkoka, DC Moyo amekagua eneo la ujenzi wa madarasa matatu na matundu sita ya vyoo, mradi wenye thamani ya shilingi milioni 80 kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Amesema amefurahishwa na utayari wa wananchi kushiriki katika utekelezaji wa mradi huo.

“Nimefarijika kuona mmeupokea mradi huu kwa mikono miwili. Tukishirikiana, utakamilika kwa wakati ifikapo Januari. Vifaa vitakavyokuja tulinde, tusiruhusu mtu yeyote kuvidokoa,” amesema DC Moyo.

Katika Kata ya Marambo, amekagua mradi wa ujenzi wa madarasa matatu na matundu 12 ya vyoo katika Kijiji cha Litula, wenye thamani ya shilingi milioni 93.4.

Aidha, katika Kata ya Ruponda Kijiji cha Namanga, amekagua mradi wa ujenzi wa madarasa matano, matundu 12 ya vyoo na nyumba ya mwalimu ya familia mbili (2-in-1), mradi unaogharimu shilingi milioni 252.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MILIONI 20 ZA MAPATO YA HALMASHAURI ZAMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI HOSPITALI YA WILAYA YA NACHINGWEA

    October 08, 2025
  • HUMAN 100, KIFAA CHENYE UWEZO WA KUPIMA WAGONJWA 100 KWA WAKATI MMOJA, SULUHISHO LA FOLENI YA MAABARA HOSPITALI YA NACHINGWEA

    October 08, 2025
  • ICU YA ZAIDI YA MIL 600 NA MAPINDUZI YA HUDUMA ZA AFYA NACHINGWEA

    September 29, 2025
  • DED CHIONDA : USAFI NI MAZOEZI, TUFANYE KWA AFYA ZETU NA MAZINGIRA YETU

    September 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.