• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 40 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Imetumwa : February 5th, 2025

Katika mwaka wa fedha 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea inakusudia kukusanya na kutumia jumla ya Shilingi 40,595,578,276.00 kutoka vyanzo tofauti ndani ya Halmashauri hiyo na serikali kuu, bajeti imeongezeka kwa zaidi ya bilion 1 ukilinganisha na bajeti ya mwaka 2023/24 ambayo ilikua ni bilioni 38.8. Hayo yameelezwa kwenye kikao cha baraza la madiwani cha robo ya pili leo Januari 5, 2025.

Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Mohamed Hassan Moyo amesisitiza usimamizi wa miradi mbalimbali ikiwemo miradi ya shule na uboreshaji wa miundombinu ya barabara, pia, amewataka wakuu wa Idara wa Halmashauri hiyo kusimamia utolewaji wa stahiki za watumishi zipatikane kwa wakati ili waweze kusimamia na kutekeleza shughuli za maendeleo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mheshimiwa Adinan Mpyagila ameahidi kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi ya maendeleo na amewaagiza waheshimiwa madiwani wote kusimamia wanafunzi wa kidato cha kwanza kwenda kuripoti kwa mwaka mpya wa masomo.


Aidha, Kaimu Mkurugenzi ndugu Joshua Mnyanga'ali ameeleza kuwa kwa mwaka 2025 miradi yote ya maendeleo ikiwa ni pamoja na barabara, majengo ya zahanati ndani ya Wilaya ambayo ipo kwenye bajeti na ile ambayo bado haijatengewa bajeti inatarajiwa kukamilika ili kuendelea kukuza maendeleo.


 Mbunge wa Jimbo la Nachingwea Mheshimiwa Amandus Chinguile pamoja na Katibu wa CCM Wilaya Mwanaisha Ame Mohamed wameipongeza Halmashauri kwa kutoa mikopo ya 10% ambayo inatokana na mapato ya ndani kwa wananchi na kutoa msisitizo katika ufuatiliaji wa marejesho ili kuwapa nafasi na wanufaika wengine waweze kupata mikopo hiyo kwa wakati.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 55 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WAJENGEWA UWEZO

    July 03, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% WATAKIWA KUWA NA NIDHAMU YA FEDHA, MILIONI 649 ZAKOPESHWA AWAMU YA PILI

    July 03, 2025
  • NACHINGWEA YAJIFUNZA MBINU BORA ZA USIMAMIZI WA MIGODI KUTOKA GEITA

    June 27, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA.

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.