• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

WATANZANIA WAHIMIZWA KULA NA KUNYWA KOROSHO KWA AFYA.

Imetumwa : August 8th, 2025

Watanzania wamehimizwa kujenga tabia ya kupenda Kula na kunywa bidhaa za korosho kwani zina virutubisho vingi vya kupambana na magonjwa pamoja na kufanya uhamasishaji wa kuongeza thamani ya zao hilo na  kuongeza pato la Taifa

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Kanali Michael Mntenjele alipokuwa akizungumza na wananchi, Wadau na wakulima wa mikoa ya Lindi na Mtwara wakati WA maadhimisho ya siku ya Kula na Kunywa bidhaa zitakanazo na zao la  korosho ambayo ni mahusisi kwa ajili ya uhamasishaji wa uongezaji thamani wa zao Hilo

Katika maadhimisho hayo Wananchi Wadau na wakulima wa korosho wameona bidhaa mbalimbali zitokanazo na korosho kama vile chapati, maandazi, kashata , maziwa ya korosho pamoja na mvinyo.


Amesema ulaji wa korosho licha ya kumlinda Mraji na magonjwa lakini pia usaidia kukuza uchumi kwa mtu mmoja Mmoja kupitia  Soko la ndani na Taifa kwa Jumla

Dkt. Wilson Nene ni Mtafiti kiongozi wa zao la korosho kutoka Kituo cha utafiti tari naliendele amesema ni faraja kwao kama Taasisi kuona Matokeo ya  utafiti na uhamasishaji wa Matokeo ya kilimo Katika zao hilo la korosho


Huku kaimu mkurugenzi Mkuu wa bodi ya korosho Ngangile Malegesi  Akieleza  mipango ya Serikali Katika kuliendeleza zao la korosho ili kuhakikisha linatumika ndani ya NCHI,  kuuzika na kuongeza fedha za kigeni  ni pamoja na ubanguaji wa korosho kwa asilimia 100% Katika viwanda vya ndani


 Naye  Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohammed Moyo Anaeleza faida za korosho kwa Afya ya binaadamu

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DC MOYO NA DC MLINGA WAUFUNGA MGODI WA KAIYUEKWA UKIUKWAJI WA SHERIA

    August 07, 2025
  • NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA BANDA LA NACHINGWEA KATIKA MAONESHO YA NANENANE NGONGO

    August 07, 2025
  • MIFUGO LAKI 3 YATARAJIWA KUFIKIWA NA KUCHANJWA MIKOAYA LINDI NA MTWARA

    August 08, 2025
  • WATANZANIA WAHIMIZWA KULA NA KUNYWA KOROSHO KWA AFYA.

    August 08, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.