• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

Waliohujumu fedha za mauzo ya korosho kukamatwa

Imetumwa : April 26th, 2018

Waliohujumu fedha za mauzo ya korosho kukamatwa

Mkuu wa wilya ya Nachingwea Mheshimiwa Rukia Muwango amemuagiza Kamanda wa polisi wa wilaya kuwakamata mara moja wale wote ambao wamehusika na ubadhirifu wa fedha za wakulima na kupelekea wakulima kutopata fedha zao za malipo ya mauzo ya korosho .

Ameyasema hayo jana wakati akiongea na waheshimiwa Madiwani katika kikao cha Baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ulipo mjini Nachingwea.

“OCD nakuagiza kuanzia sasa hivi wale wote wanaohusika katika ubadhirifu huu wakamatwe mara moja na warudishwe mahabusu,kama ni kulipa deni watalipa wakiwa mahabusu nataka ijumaa nije niwasalimie wakiwa mahabusu” Alikazia Mheshimiwa Muwango

Aliongeza kuwa mpaka sasa ni vyama 13 ndio vinadaiwa na wakulima na kesi zipo katika hatua mbalimbali lakini wamekuwa wakipuuza kwa kuwa wanaona kesi hizi ni za madai ndio maana anaamuru wakamatwe mara moja hata kama walishapata dhamana.

Mkuu wa Wilaya ametoa ufafanuzi na maagizo haya baada ya Waheshimiwa Madiwani kuhoji hatua zilizochukuliwa kufuatia baadhi ya wakulima kutopata fedha za mauzo ya korosho na msimu umeshafungwa.

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amewaonya viongozi na watumishi kutojihusisha na vitendo vya uhalifu kwani kumekuwa na taarifa ya viongozi na watumishi kujihusha matukio ya uhalifu kama uvunaji haramu wa mazao ya misitu.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DC MOYO AWATAKA MADIWANI KUWA KICHOCHEO CHA MAENDELEO.

    January 08, 2026
  • DED CHIONDA: TUNASIMAMIA USTAWI WA WAFANYA BIASHARA WA WILAYA YA NACHINGWEA

    January 06, 2026
  • MHESHIMIWA ADINAN MPYAGILA ACHAGULIWA TENA KUA MWENYEKITIWA WA HALAMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA

    December 02, 2025
  • KUELEKEA UCHUMI WA MADINI DED CHIONDA NA WATAALAMU WA HALMASHAURI YA NACHINGWEA WAPEWA MAFUNZO YA CSR

    December 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.