• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI VYATAKIWA KUTUMIA MIKOPO WALIYOPEWA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Imetumwa : January 11th, 2018

VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI VYATAKIWA KUTUMIA MIKOPO WALIYOPEWA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mheshimiwa Rukia Muwango amevitaka vikundi vya  wajariamali kutumia vizuri fedha wanazopewa kama mkopo na Halmashauri ili kujikwamua kiuchumi.

Ameyasema hayo wakati akikabidhi hundi ya shilingi milioni 86 kwa vikundi vya  wajasiriamali  wanawake, vijana na walemavu inayotokana na asilimia kumi ya mapato ya ndani ya Halmashauri

“Uwezeshaji wa wananchi kiuchumi kunapaswa kuungwa mkono na kila mtu, mnatakiwa kuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha hizi kwa kuweka kumbukumbu sahihi za matumizi na kutobadili matumizi yaliyokusudiwa” Aliongeza Mheshimiwa Muwango

Pia amewataka wajasiriamali hao kurejesha fedha hizo kama masharti yanavyoelekeza kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia na wengine kunufaika na fedha hizo kwani zinaenda kwa mzunguko.

Akimkaribisha Mkuu wa Wilaya kukabidhi hundi hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri amevitaka vikundi hasa vya vijana na walemavu kujitokeza ili kuweza kupata mikopo kwani fedha zipo.

Aidha, akitoa taarifa ya mikopo kwa mgeni rasmi Afisa Maendeleo ya Jamii bi Esther Makomba amesema Halmashauri imetenga kiasi cha shilingi 283,565,710 kama asilimia kumi ya mapato ya ndani ambayo ni shilingi 2,835,657,099.

Kwa robo ya pili kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba 2017 halmashauri inawakopesha vikundi vya wajasiriamali wanawake, vijana na walemavu.

“Halmashauri imelenga kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuhakikisha fursa ya mikopo kwa ajili ya mitaji inapatikana bila urasimu na masharti nafuu na kuwafikia wananchi wengi, mkikopo hii inapaswa kurejeshwa baada ya mwaka mmoja tangu mkopo ulipotolewa” Alisisitiza bi Makomba

Mikopo yenye jumla ya shilingi 299,000,000 imetolewa na kuwanufaisha wananchi 2,560 katika vikundi 128 kutoka kata 36 za wilaya ya Nachingwea.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENGE WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 2.2 CHANGAMOTO ZA MAJI,AFYA ZA MALIZWA WANANCHI WAFURAHIA NISHATI SAFI

    May 29, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WATAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU KWA AWAMU YA PILI

    May 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KIWANGO CHA LAMI NACHINGWEA

    May 29, 2025
  • RUNALI YAANZA MAANDALIZI YA MSIMU WA UFUTA NA MBAAZI KWA MSINGI WA UBORA NA UWAJIBIKAJI

    May 28, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.