• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

"Tasaf imeniwezesha kujikwamua kiuchumi" Bi Hadija Sefu

Imetumwa : May 16th, 2018

“Tasaf imeniwezesha kujikwamua kiuchumi” Bi Hadija Sefu

Bi Hadija Sefu mkazi wa kijiji cha Namikango A ameeleza kunufaika na mradi wa Tasaf kwa kujenga nyumba ya vyumba vitatu vya kulala ambayo pia imeunganishwa na nishati ya umeme wa jua.

Akielezea namna alivyoweza kujenga nyumba hiyo Bi Hadija alisema alikuwa anajiwekea akiba kwa kile alichokuwa akipata,hatimaye alijikuta amepata fedha za kununulia bati,boriti na kuweka nguvu katika ufyatuaji wa tofali.

“Nilitengeneza kibubu nikipata elfu 32,000 natumia elfu 2,000 na kuweka elfu 30,000 japo nilianza kiasi cha shilingi elfu 28,000. Kwa kujiwekea akiba nimeweza kujenga nyumba hii ya vyumba vitatu ambamo ninaishi kwa sasa”.

Akielezea ujenzi wa nyumba yake imechukua takribani ametumia takribani mwaka mmoja kukamilisha shughuli za ujenzi hata hivyo amedai haikuwa kazi rahisi kwake kukamilisha ujenzi huo.

Aidha amewataka wanufaika wenzie kuzitumia fedha hizo vizuri kwani zinaweza kuwakwamua kiuchumi kwa kujenga makazi bora, kuanzisha biashara ndogondogo na kupunguza utegemezi na hata mradi utakapomaliza muda wake watakuwa na cha kujivunia.

“Fedha hizi sio ndogo mtu anaweza kuonesha kitu cha maana bali watu wengi wamekuwa wakizitumia fedha hizi kunywea pombe kitu ambacho ni kinyume cha malengo ya mradi huu wa kunusu kaya masikini”.

Aliongeza kwa kuwashauri wanufaika wenzie kuweka akiba na pia kujishughulisha na shughuli nyingine za uzalishaji mali na kutotegemea fedha za ruzuku pekee kama chanzo cha mapato.

Mradi wa kunusuru kaya maskini umeanza Februari 2014 kwa sasa  unanufaisha kaya 5424 ambapo unagharimu kiasi cha shilingi 151,040,000 kwa mwezi

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANAFUNZI WA NACHINGWEA HIGH NA RUGWA BOYS WAAGWA KWA HAFLA FUPI, WAJIANDAA KWA MITIHANI YA TAIFA

    April 26, 2025
  • SDA NA LIIKE WATOA MAFUNZO YA HUDUMA YA KWANZA KWA MANGALIBA NA WALOMBO KWA AJILI YA KUIMARISHA UTAMADUNI SALAMA

    April 28, 2025
  • DED NACHINGWEA : AAGIZA MIRADI KUKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA KUZINGATIA VIWANGO

    April 09, 2025
  • RC LINDI : MIRADI YOTE ITAKAYOPITIWA NA MWENGE IZINGATIE MATUMIZI BORA YA FEDHA

    April 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.