• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MIRADI SITA ( 6 ) YENYE THAMANI YA TSH

Imetumwa : August 25th, 2021

Mwenge maalum wa Uhuru umekimbizwa wilayani Nachingwea Agosti 25, 2021  ambapo umetembelea, umekagua, umeweka jiwe la msingi na kuzindua jumla ya Miradi 6 yenye thamani ya bilioni moja (1) 

Mradi wa kwanza kukaguliwa na kuzinduliwa ni Mradi wa Maji Namikango wenye thamani ya Sh Milioni 315, 296,145.79 kutoka serikali kuu na sh 15,908.000.00 zimetokana na nguvu kazi kutoka kwa wananchi ambazo ni  kuchimba na kufukia mitaro yenye urefu wa mita yenye urefu wa mita Elfu 7954. Mradi umewezesha upatikanaji wa huduma ya maji karibu na makazi ya watu, umepunguza muda uliokuwa unatumika katika kutafuta huduma ya maji na badala yake unatumika katika shughuli za kiuchumi, utapunguza magonjwa yatokanayo na matumizi ya maji yasiyo safi na salama na mradi umeweza kutoa ajira kwa watu 18.

Mradi  wa pili kuzinduliwa ni wa wodi ya wazazi iliyopo Hospitali ya wilaya Nachingwea iliyogharimu sh Milioni 474,946,758.00 ambapo Milioni 400,000,000.00 zimetoka serikali kuu na Milioni 74,946,758.00 zimetoka halmashauri. Manufaa ya mradi huu , unaokoa vifo vya mama na watoto ambavyo vilikuwa vinatokana na ukosefu wa mazingira bora ya kujifungulia .

Mradi wa tatu, kutembelewa ni shamba darasa ambalo limeanzishwa kwa gharama ya sh 1,232,000.00.  limekuwa linatoa elimu kwa wakulimu namna bora ya kufanya kilimo cha kisasa katika mazingira ya nyumbani kwa ghrama nafuu na vifaa ambavyo vinavyopatikana nyumbani . Luteni Josphine Mwambashi amewasihii wananchi kuchangamkia fursa ya kupata elimu katika mashamba darasa yote yanayoanzishwa katika maeneo yote na kuepuka kilimo cha kizamani.

Mradi wa nne, ujenzi wa madarasa mawili shule ya msingi muungano kata ya Namatula yenye thamani ya sh  Milioni  33, 918,000.00  ambapo Milioni Milioni 25,003,800.00 kutoka serikali kuu, Sh Milioni 1,300,000.00 kutoka kwa wadau /wahisani  na Sh Laki 7,614,200.00 zimetokana na  na nguvu za wananchi . Mradi huu uliwekwa jiwe la msingi na kiongozi wa mbio za mwenge Luteni Josephine Paul Mwambashi.

Mradi wa tano,  kutembelea  ujenzi wa shule ya sekondari Chiumbati wenye thamani ya Sh  Milioni 684,237,810.00 ambapo  Milioni 40,000,000.00 kutoka serikali kuu,, Milioni 516,000,000.00 kutoka halmashauri makato ya zao la korosho , na kiasi cha Sh Milioni 128, 237,810,00 zimetokana na nguvu za wananchi ikiwemo kutoa eneo lenye ukubwa wa hekta 24.42 , kuchimba msingi, na kuchimba mtaro wa maji . Kiongozi wa mbio za mwenge Luteni Josphine mwambashi amewapongeza wananchi kwa kuthamaini Elimu kuweza kutoa eneo lao na kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa shule hiyo.

Mradi wa sita,  uwezeshwaji watu wenye ulemavu- ujenzi wa mashine ya kukoboa na kusaga (Ufunguzi)  ambaponhalmashauri imetoa sh 18,000,000.00 na kupitia asilimia 10  Halmashauri imeweza kutoa mikopo Shilingi Milioni 83,175,210.00  kwa makundi hayo. Luteni Josphine Mwambashi ameweza kuzindua mradi huo wa walemavu.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENGE WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 2.2 CHANGAMOTO ZA MAJI,AFYA ZA MALIZWA WANANCHI WAFURAHIA NISHATI SAFI

    May 29, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WATAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU KWA AWAMU YA PILI

    May 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KIWANGO CHA LAMI NACHINGWEA

    May 29, 2025
  • RUNALI YAANZA MAANDALIZI YA MSIMU WA UFUTA NA MBAAZI KWA MSINGI WA UBORA NA UWAJIBIKAJI

    May 28, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.