• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI AHITIMISHA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA, WASISITIZWA KUZINGATIA VIAPO

Imetumwa : August 6th, 2025

Msimamizi Mkuu wa uchaguzi wa Wilaya ya Nachingwea Ndugu Joshua Mnyang'ali, amehitimisha rasmi mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata ambapo zoezi hilo limefanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashaur ya Wilaya Nachingwea leo agusti, 6 2025,

Akihitimisha mafunzo hayo kwa wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata, Mnyang'ali  amewaasa kwenda kutoa elimu sahihi kwa Makarani wa wapiga kura kwa kuzingatia sheria kanuni na miongozo pamoja na kuonesha kwa vitendo namna ya kutumia vifaa vya kupigia kura na kuhakikisha yanakua sawa kwa matumizi ya watu wote.

Pia, amewasisitiza wasimamizi wasaidizi hao kwa wakati huu ambapo tayari wamekua watumishi wa Tume kua na vitendo vya kiadilifu na uaminifu katika kipindi hiki kuelekea katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika October 2025.

Aidha, Afisa Uchaguzi ndugu Robert Mmari amesema wasimamizi wamejengewa uwezo wa kuwawezesha kutoa mafunzo kwa wasimamizi wa vituo pamoja na makarani waongozaji kupitia mafunzo waliopatiwa kwa kuzingatia sheria na kanuni za Tume, pamoja na kutunza rasilimali kama walivyoelekezwa ikiwa ni  pamoja na kuhakikisha Uchaguzi unakua wa haki na amani,


Kwa upande wake Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Kata ya Naipingo Nahya Tamimu ameishukuru Tume ya Uchaguzi kwa kuwaamini na kuwapa nafasi, hivyo kwa niaba ya washiriki wengine ameahidi wataitumia kwa uaminifu na kufuata sheria na miongozo iliyowekwa na Tume ya Uchaguzi.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • AKINA BABA NACHINGWEA WAMETAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA AKINA MAMA WANAONYONYESHA

    August 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI AHITIMISHA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA, WASISITIZWA KUZINGATIA VIAPO

    August 06, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 76 WA UCHAGUZI MKUU NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO NACHINGWEA

    August 04, 2025
  • DED CHIONDA AWAKARIBISHA WANANCHI WOTE KUTEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA NACHINGWEA KATIKA MAONESHO YA NANENANE NGONGO

    August 01, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.