• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MKUU WA WILAYA YA NACHINGWEA AZINDUA MPANGO WA ANUANI YA MAKAZI

Imetumwa : February 17th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe. Hashim A. Komba amezindua rasmi mpango wa Anuani ya makazi leo February 17, 2022 katika Chuo Cha Ualimu Nachingwea (TTC) 

.Mhe. Komba ameeleza dhamira ya Mpango huo katika kudumisha na kuboresha maswala ya ulinzi na usalama na kuwa na Takwimu sahihi ambazo zitaisaidia Serikali  ama wahisani katika kufanya maamuzi sahihi katika kupanga Mipango ya Maendeleo ya eneo husika hasa huduma za Kijamii na miundombinu mingine.Mhe. Komba ameyaeleza hayo katika kikao hicho Cha uzinduzi kilichoshirikisha wenye Viti wa vitongoji, wenyeviti wa Vijiji, watendaji wa Vijiji, watendaji wa kata , Maafisa Tarafa, wazee maarufu, viongozi wa Dini, Waheshimiwa madiwani, Vijana  na makundi mbalimbali ya kijamii.Licha ya kueleza dhamira njema ya Mpango huo, Mhe. Komba amewasihii Sana wananchi kuonesha ushirikiano katika kufanikisha mpngo huo wenye tija kwa Wilaya na Taifa kwa ujumla wake .

Mfumo huu wa anuani ya makazi unafaidi  zifuatazo  

1. Kila Raia atakuwa na anuani  yake halisi ya makazi hivyo kurahisiha utambulisho wake.

2. Kuwezesha kufanyika kwa biashara mtandaoni

3. Kuboresha ufikiwaji wa sehemu za kutolea huduma ie. Bank, Hotel, Hospital na nk

4. Kuimarisha ulinzi na usalama ikiwemo utoaji wa huduma za dharura kama vile Polisi, Zimamoto na Magari ya wagonjwa kwa kuyatambua maeneo yenye dharura na kuyafikia kwa wakati.

5. Kurahisisha Shughuli za tafiti na upatikanaji wa tafiti na upatikanaji wa taarifa mfano sensa

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA ANWANI YA MAKAZI March 15, 2022
  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI MAY 11, 2022 May 07, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MIRADI SABA (7)YENYE THAMANI YA BIL 1.3 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU NACHINGWEA

    April 28, 2022
  • MKUU WA WILAYA YA NACHINGWEA AZINDUA MPANGO WA ANUANI YA MAKAZI

    February 17, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MAKSIO YA BAJETI YA BILIONI 33.8 YA MWAKA 2022/2022

    January 27, 2022
  • FURSA YA KILIMO CHA ZAO LA ALIZETI NACHINGWEA

    January 26, 2022
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AKIZUNDUA MRADI WA MAJI NAMIKANGO
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.