• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MKUU WA MKOA WA LINDI AWATAKA WAKULIMA KUTUMIA FEDHA ZAO VIZURI

Imetumwa : January 7th, 2018

MKUU WA MKOA WA LINDI AWATAKA WAKULIMA KUTUMIA FEDHA ZAO VIZURI

“Tumieni fedha mlizozipata kutokana na mauzo ya korosho kuboresha maisha yenu, Korosho ioneshe kweli maisha yenu yanabadilika na sio kutumia katika mambo ambayo hayana tija kwenu”Alisema mheshimiwa Zambi

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Godfrey Zambi ameyasema hayo katika siku ya Bonanza la Mkulima wa Nachingwea lililofanyika katika viwanja vya Sokoine Mjini Nachingwea mwishoni mwa juma

Akitoa ushuhuda namna zo la korosho lilivyoboresha maisha yake mkulima ndugu Said Mtalala alisema zao la korosho limeweza kumfanya akanunua matrekta mawili ndani ya msimu mmoja wa kilimo kitu ambacho mfanyabiashara wa kawaida hawezi kufanya.

Aliongeza kuwa matrekta hayo anayatumia kama cha kubebea mizigo yake na kuwakodishia wananchi kubebea mizigo mbalimbali na pia analitumia kulima mashamba yake na wakulima wenzie.

“Kuna watu walikuwa wananicheka wakati nikihangaika na kulima sasa hivi wanavyoona mafanikio yangu wanatamani nao kuanza kulima kwani wameona kilimo kinalipa” Alisema Mtalala

Pia amempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania Mheshimiwa John Magufuli kwa kuboresha bei ya zao hilo na kuondoa tozo zilizokuwa zikimkandamiza mkulima na hivyo kumfanya asione manufaa ya zao hilo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa amewataka wakulima wengine kuiga mfano wa Mtalala ambaye ametumia fedha zao la korosho kuboresha maisha yake na kupanda kutoka mkulima mdogo na kuwa mkulima wa kati

Aidha Mkuu wa Mkoa amezungumzia kuboreshwa kwa barabara za Masasi hadi Nachingwea ambayo itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami, barabara ya Nachingwea hadi Nanganga upembuzi na usanifu wa kina umefanyika serikali inatafuta fedha ili ianze kujengwa kwa kiwango cha lami.

Kwa upande wa barabara ya Nachingwea hadi Ruangwa upembuzi na usanifu wa kina umeshafanyika kinachofanyika sasa serikali inatafuta fedha shughuli za ujenzi kwa kiwango cha lami uanze, barabara ya Nachigwea hadi Liwale itafanyiwa upembuzi yakinifu na usanifu wa kina.

 

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENGE WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 2.2 CHANGAMOTO ZA MAJI,AFYA ZA MALIZWA WANANCHI WAFURAHIA NISHATI SAFI

    May 29, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WATAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU KWA AWAMU YA PILI

    May 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KIWANGO CHA LAMI NACHINGWEA

    May 29, 2025
  • RUNALI YAANZA MAANDALIZI YA MSIMU WA UFUTA NA MBAAZI KWA MSINGI WA UBORA NA UWAJIBIKAJI

    May 28, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.