• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MIRADI SABA (7)YENYE THAMANI YA BIL 1.3 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU NACHINGWEA

Imetumwa : April 28th, 2022

Mwenge wa Uhuru ukiongozwa na Ndugu Sahili Nyanzabara Gararuma umepitia miradi Saba (7) yenye Thamani ya Bil 1.3 ambayo ni :

1. Mradi wa Madarasa 2 na Ofisi moja Shule ya Msingi Rupota,

2.Mradi wa Kiwanda cha uchakataji wa Taka Ngumu ,

3. Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Mafuta Angelica Petrol Station

4. Mradi wa Barabara ya lami kuzunguka Soko Kyu,

5. Mradi wa Wodi ya Grade One Hospitali ya Wilaya

6.Ujenzi wa Kituo cha Afya Nambambo

7. Ujenzi wa Madarasa 4 Shule ya Secondari Stesheni.


Miradi hiyo iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru yenye Jumla ya Tsh 1,300,968,675 zimetokana na Tsh 199,872,795 Mapato ya ndani ya Halmashauri, The 899,790,900 fedha toka serikali kuu 15,898, 500 michango ya wananchi na Tsh 185,406,480 kutoka kwa Wadau wa maendeleo .


Mwenge umepongeza na kutoa mapendekezo ya uboreshaji kwa lengo la kufanikisha miradi ya maendeleo kiufanisi na kuzingatia viwango sahihi na wakati


Aidha, Kaimu Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mhe. Shaibu Ndemanga ameshukuru kwa pongezi na kuahidi kuzifanyia kazi changamoto zote zilizojitokeza na kuyafanyia kazi maagizo yote.Edited · 4h

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA ANWANI YA MAKAZI March 15, 2022
  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI MAY 11, 2022 May 07, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MIRADI SABA (7)YENYE THAMANI YA BIL 1.3 YAPITIWA NA MWENGE WA UHURU NACHINGWEA

    April 28, 2022
  • MKUU WA WILAYA YA NACHINGWEA AZINDUA MPANGO WA ANUANI YA MAKAZI

    February 17, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MAKSIO YA BAJETI YA BILIONI 33.8 YA MWAKA 2022/2022

    January 27, 2022
  • FURSA YA KILIMO CHA ZAO LA ALIZETI NACHINGWEA

    January 26, 2022
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AKIZUNDUA MRADI WA MAJI NAMIKANGO
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.