• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MIFUGO LAKI 3 YATARAJIWA KUFIKIWA NA KUCHANJWA MIKOAYA LINDI NA MTWARA

Imetumwa : August 8th, 2025

Serikali imetenga zaidi ya shilingi bilioni 296 kwa ajili ya utekelezaji wa zoezi la uchanjaji wa mifugo nchini, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kudhibiti magonjwa hatari yanayopunguza tija kwa mfugaji na kuathiri upatikanaji wa soko la kimataifa.

Akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Mifugo na Uvuvi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Edwin Mhede, amesema serikali imepanga kufikia lengo la kuchanja asilimia 70 ya mifugo yote nchini ifikapo Oktoba 2025.

Kwa mujibu wa takwimu, jumla ya ng’ombe wanaokadiriwa kuwapo katika mikoa ya Lindi na Mtwara ni zaidi ya mifugo laki tatu na ambao nao wanatarajiwa kufikiwa na zoezi hilo, huku ikitarajiwa kuwa miongoni mwa mikoa inayotarajiwa kutekeleza kwa ufanisi zoezi hilo.


“Magonjwa yasipodhibitiwa huathiri kwa kiasi kikubwa thamani ya mifugo katika soko hasa la kimataifa. Serikali imeweka msukumo ili kuhakikisha zoezi hili linafanyika kwa ufanisi ili kufikia viwango vinavyokubalika kimataifa ili kuleta tija kwa mfugaji pamoja na kudhibiti tatizo la uwizi wa mifugo” alisema Dkt. Mhede.


Vilevile, Dkt. Mhede amesema kuwa serikali ya awamu ya sita inaendelea na mpango wake wa kuwawezesha wananchi kupitia sekta za kimkakati ikiwemo Kilimo, mifugo na uvuvi kwa kuongeza msukumo ili kuhakikisha kuwa wananchi wote wanafikiwa na sekta hizi za kimageuzi, Katika upande wa uvuvi, serikali inaendelea kuwawezesha wavuvi wa ukanda wa pwani kwa kuwapatia boti za kisasa kupitia mikopo isiyo na riba, ili kuongeza tija katika shughuli zao na kuchochea uchumi wa buluu, na wakulima wakiendelea kunufaika na utolewaji wa pembejeo za kilimo bure.


Aidha, kupitia maadhimisho hayo, Dkt. Mhede amewakumbusha wananchi kuzingatia ulaji wa lishe bora, hasa protini zinazotokana na wanyama, huku akisisitiza matumizi ya bidhaa za mwani kwa afya na tiba, zikiwemo mafuta, unga na mbolea ya mwani pamoja na kuzitaka halmashauri kushirikiana na wataalamu kutoka idara za afya, lishe na maendeleo ya jamii ili kuhakikisha wananchi wananufaika na jitihada hizi za serikali katika kuboresha maisha yao.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DC MOYO NA DC MLINGA WAUFUNGA MGODI WA KAIYUEKWA UKIUKWAJI WA SHERIA

    August 07, 2025
  • NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA BANDA LA NACHINGWEA KATIKA MAONESHO YA NANENANE NGONGO

    August 07, 2025
  • MIFUGO LAKI 3 YATARAJIWA KUFIKIWA NA KUCHANJWA MIKOAYA LINDI NA MTWARA

    August 08, 2025
  • WATANZANIA WAHIMIZWA KULA NA KUNYWA KOROSHO KWA AFYA.

    August 08, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.