• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE KIWILAYA YAFANYIKA MARCH 06, 2024 KATIKA KIJIJI CHA NDITI

Imetumwa : March 6th, 2024

March 06, 2024 yamefanyika Maadhimisho ya siku ya Wanawake wilaya ya Nachingwea katika Kijiji cha Nditi kwenye uwanja wa shule ya Msingi. Ambayo kidunia yanadhimishwa March 8 kila mwaka, maadhimisho hayo yameambatana na zoezi la kukabidhi chakula na bidhaa mbalimbali kwa familia zilizoathiriwa na Tembo hususani wanafunzi.

Maadhimisho hayo yameandaliwa na kufanikishwa na kamati ya wanawake wapenda maendeleo kwa kushirikiana na Idara ya Maendeleo ya jamii ya Halmashauri ya Nachingwea ambapo hao awali  February 26, 2024 walifanya harambee katika ukumbi wa Mondulane Mess na kuwashirikisha wadau mbalimbali wa Nachingwea na nje ya Nachingwea walioguswa na Kadhia ya iliyowapata wakazi wa kata ya Ngunichile na kata ya Nditi.

Katika maadhimisho hayo Mahindi gunia 20, Maroba ya nguo ,Viatu Mbaazi gunia 1,Mashati 119, Majora ya vitambaa kwa ajili ya sare za shule, Daftari Katoni 6,Kaunta buku 39, Peni box 3 ,Penseli box 8,Kiloba cha unga kg 10 pamoja na taulo za kike box 10 zimetolewa kwa wakazi na wanafunzi wa Nditi na Ngunichile.

Mgeni Rasmi wa maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Mohamed Moyo Mkuu amewapongeza sana wanawake wapenda maendeleo kwa kazi kubwa waliyoifanya na Moyo na upendo waliouonesha kwa Wananditi na Ngunichile pamoja na wadau wote waliochangia.

Aidha, amewataka wazazi wa Nachingwea kuwekeza nguvu kubwa katika kumuinua mtoto wa kike na kuwataka kuacha tabia ya kuozesha watoto wakiwa na umri mdogo na kuwataka wajifelishe mtihani na kuwapeleka kwenye kazi za ndani. Pia, Mhe Moyo ametoa wito kwa wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi waserikali za mitaa.



#tukivizuri

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENGE WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 2.2 CHANGAMOTO ZA MAJI,AFYA ZA MALIZWA WANANCHI WAFURAHIA NISHATI SAFI

    May 29, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WATAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU KWA AWAMU YA PILI

    May 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KIWANGO CHA LAMI NACHINGWEA

    May 29, 2025
  • RUNALI YAANZA MAANDALIZI YA MSIMU WA UFUTA NA MBAAZI KWA MSINGI WA UBORA NA UWAJIBIKAJI

    May 28, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.